Thursday, August 24, 2017

Image may contain: 1 person, standing and outdoor
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamua kuingia mtaani kusaka mume huku akiwa amebeba bango katikati ya jiji la Nairobi. Akiwa amevalia nguo nyeupe- kama ya harusi- mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 28, Pris Nyabura, amebeba bango linalosema: “Nahitaji mume, nina mtoto wa kike wa miaka saba.”
Mwandishi wetu Robert Kiptoo amejaribu kumpigia simu ili kupata taarifa zaidi, lakini simu yake iko “bize”…

0 comments:

Post a Comment