Msanii wa Filamu Bongo Jacqueline Wolper ameeleza sababu za yeye kuamua kuja na App.
“Yeah ni kweli nataka kuja na App yangu na sababu kubwa ambayo imenifanya niwe na App ni kwa sababu mashabiki wengi wanatamanigi kujua vitu vyetu kwa undani kwa sababu wanakutana na facebook fake, wanakutana na mastori fake kwa hiyo ukiwa na App ni kitu kikubwa zaidi kuwaweka mashabiki zako karibu,” alisema Wolper.
Pia ameongeza kuwa “Kuchart nao kuwajibu maswali yao na chochote ambacho wanakisikia wewe unawanyooshea maelezo”.
0 comments:
Post a Comment