Super
Late lunch at Downtown ...I mean unajua juzi nimewaangalia wale vilema
waliokuwa wanapigania miguu kwa RC...nikajiuliza hivi mimi binafsi nina
tatizo gani la kumlalamikia Mungu katika maisha yangu?
...ukweli ni
kwamba sina hata hayo madogo niliyonayo hayawezi kufanana na Binadam
wenzangu waliokuwa wanagombea miguu ya bandia .... guys tujifunzeni ku
appreciate maisha especially kama ni mzima
kama
mimi na tujifunze kumshukuru Mungu kwa kuacha kulalamika lalamika bila
sababu za msingi ......imagine mtumzima una akili na kila kitu
unalalamika tu na kutukana tukana tu....imagine kusimama kwenye foleni
unagombea miguu ya bandia .......again ninamshukuru sana Mungu kwa
kunipa maisha niliyonayo kumbe kuna wengi wanayatamani lakini hawana na
hawawezi kuyapata ...forgive me my God kila ninaposahau of how great you
have been to me and my life cause I am a Super Sinner and I surerly
dont deserve your grace! ...HOWEVER NAPAMBANA NA HALI YANGU U KNOW! - le
Mutuz Nation
0 comments:
Post a Comment