Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 02, 2017
 |
LIVE
STRAIGHT TALK:- Mungu anasema "MY PEOPLE ARE DYING CAUSE OF LACK OF
KNOWLEDGE"
jana na juzi niliamua kwa makusudi kuwa challenge Elimu ya
Chini on the ishuz of Zari na jana wasomi on the ishus za yule Mbunge
lofa wa Chadema nilitegemea kuona watu wenye akili wakijibu HOJA cause
mimi niliweka chini HOJA jamani zile posts zote zipo mpaka sasa nenda
uzisome Comments za kupinga ni MATUSI TU hamna HOJA ....maaana yake ni
ile ile Wanasiasa wetu wengi mtaji wao ni Wananchi Wajinga
cause kama Wananchi wetu wangekuwa werevu tusingekuwa tunapotezewa muda
na Wanasiasa wengi Uchwara kama tulionao I mean eti wanajaribu
kushindana na Rais anayekubalika na Dunia nzima kwamba HAJAWAHI KUTOKEA
tumeona mpaka the Americans wakilia kwenye Social Media zao kuwa they
wish tungebadilishana Marais wao wamchukue Rais wetu akawasaidie zaidi
....Chadema ni Demokrasia ipi wanayojua wakati CCM imeshabadilisha
Wenyeviti 3 wao wana yule yule Mugabe haondoki wala hachaguliwi ila ni
wa kudumu lakini eti wana ubavu wa kudai Demokrasia toka CCM hahaha
please bana tuoneeni huruma kidogo baadhi yetu Wananchi tulioenda Shule
na kukaa sana Majuu yaani tunajonea VICHEKESHO TU ....cause on a serious
TONE akili aliyonayo Rais Magufuli Scientifically ni Miaka 5 mbele ya
sisi wananchi wengi wa Tanzania kwa maana ya kwamba tuna gap ya Miaka 10
baina na akili ya Rais wetu wa sasa na Wananchi walio wengi hapa
Tanzania now the bigger Question here ni how can we move forward na ku
enjoy matunda ya Uongozi wa akili kubwa sana tulionao sasa hivi kwa
akili matope ninazozisoma humu kitakuwa kitendawili tu cha kutisha
...guys binafsi nimeishi Majuu so sina tatizo kuelewa kinacholalamikiwa
kuwa ni ugumu wa maisha toka Rais wa sasa ashike madaraka cause haya ni
maisha ya kawaida Majuu yaani ni lazima UFANYE KAZI na ni lazima ULIPE
KODI I mean kwenye hizi line za Kodi hapa bado tunabembelezana sana
Majuu like USA wanaodai Kodi wanaitwa IRS ndio kama TRA kule hawana
mchezo wale wakikuandikia barua wewe ni kwenda kujisalimisha tu huna
jinsi so guys KODI NI LAZIMA ....I mean hakuna mabadililo matamu
process ni lazima iwe na maumivu in life TUNAVUNA TULICHOPANDA TU so
jipime kama kweli huvuni ulichopanda! - le Mutuz Nation |
0 comments:
Post a Comment