Thursday, August 10, 2017

Image may contain: 1 person, smiling, sitting and indoor
LIVE HARD TALK:- Hahahaha guys do not fool yourself Mungu ameumba Maisha hivi
....kila mabaya na maovu unayoyafanya hapa Duniani ni lazima ulipwe hapa hapa Duniani ....asikudanganye mtu na it does not make any gademu sense ufanye maovu ukiwa hai halafu ulipwe ukiwa umekufa NO gademu WAY!....so ina maana kwamba ukiwafanyia maovu wnyonge na wewe una nguvu Mungu atakusahaulisha mpaka utajiamini kuwa wewe ni mjanja sana na una akili sana kumbe anaku set up to kuja kukupa kipigo cha mwaka ...sasa tatizo ni ukipigwa unaanza kulia lia na kuomba sympathy ya Dunia nzima kumbe ulishasahau wale wote uliowaumiza na ambao hawakuwa na sauti ya kusikika ....ila kwa sababu ni Juha huna kumbu kumbu hukumbuki kuumiza wengine kwenye safari yako ya maisha kumbe umesahau Mungu anakumbuka mazafantazzz....utapigana kuidanganya Dunia kuwa unaonewa kumbe wenye AKILI KUBWAZZZ kama mimi tunajua kuwa Mungu anakupa malipo halali ya Ujuha wako mwenyewe...guys ninasema kila wakati kabla hujarukia usiyoyajua tafuta FACTS kwanza za pande zote mbili sio unaambiwa za upande mmoja tu unaanza kucheza single ambayo mtungaji humjui ni nani.....ninarudia tena Mungu sio mjinga wa kukuruhusu ufanyie wengine maovu halafu aje akulipe ukiwa umekufa no gademu way ...so kabla hujalalamika kuonewa jitafakari umeonea wangapi in your life? ...ulidhani hakuna Mungu? back off mrudie Mungu wako ....guys adui wako kwenye maisha yako muangalie kwenye kioo utamuona live ni wewe mwenyewe wacha kutafuta wachawi ni wewe mwenyewe! ...guys ukiona in your life unawasingizia
wengine kwa ujuha wako mwenyewe ujue umekufwazz ...hahhha was just thinking loudly Good Nite! - le Mutuz Nation

0 comments:

Post a Comment