Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 16, 2017
 |
NI
heri uwe samaki mdogo kwenye dimbwi dogo kuliko kuwa samaki mdogo
kwenye dimbwi kubwa. Kwa usemi huu nimemuelewa Neymar hivi hayumo kwenye
listi ya tatu bora kuwania mchezaji bora wa dunia? Hebu rudia kuangalia
mchezo wa Barcelona na PSG utaona shughuli yake.... Nasema sasa
nimemuelewa Neymar kwa nini aliamua kuondoka kwenye lile dimbwi kubwa
lenye samaki wakubwa huku yeye akiwa dagaa.... Ni heri uwe samaki mdogo
kwenye dimbwi dogo kuliko samaki mdogo kwenye dimbwi kubwa. Hili ni somo
kubwa sa katika maisha yetu kwani kila sehemu kuna wafalme wake....
Naamini mwakani Neymar atakuwamo kwenye tatu bora ya kuwania mchezaji
bora wa dunia.... |
0 comments:
Post a Comment