Posted by Williammalecela.com on Wednesday, August 30, 2017
Leo siku ya Jumatano ya tarehe 30 august, saa Saba Mchana Meya wa Manispaa ua Ubungo
Atafanya mkutano na kuongea na Wamachinga wa Ubungo eneo la mataa,kuhusu wamachinga wote kupisha eneo la Ubungo Mataa kwa ajili ya Mradi wa INTERCHANGE(FLYOVER)
0 comments:
Post a Comment