Sunday, August 6, 2017


Mwimbaji staa wa nyimbo za asili Saida Karoli  alikuwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza katika muendelezo wa kutoa burudani kwa mashabikia wa Kanda ya Ziwa ambapo alisindikizwa na Nandy na Chegge.


0 comments:

Post a Comment