Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo alipofanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Feri jijini Dar es sa laam na kuvuka bahari kwa kutumia cha MV Kigamboni ambapo pia amekutana na wananchi wa Kigamboni.
Hata hivyo Rais Magufuli baada ya kutembelea daraja la Nyerere na kuzungumza na wananchi wa eneo hilo ndio akatoa agizo hilo kwa Mkuu wa Mkoa huyo kulifanyia kazi ombi la wananchi kuwajenga kituo cha hicho.
0 comments:
Post a Comment