Friday, August 11, 2017

Kamati YA ulinzi  Mkoa na wilaya YA mbeya yadhirishwa na eneo linalopendekezwa
-  Mkuu wa mkoa wa Mbeya Leo Ameongoza Kamati YA ulinzi na usalama YA Mkoa na wilaya kukagua eneo linalopendekezwa kwa ajili ya Bandari Kavu

- Akiongea na wananchi amewashukuru wananchi kuridhia eneo linalopendekezwa kujengwa bandari kavu na kuhaidi watakaopisha watalipwa fidia kwa mujibu wa sheria
- Amesema kujengwa kwa bandari kavu mkoani Mbeya ni mkakati wa kiuchumi na una faida kubwa kiuchumi kuanzia  mtu mmoja mmoja,kijiji, kata , halmashauri  , mkoa na Taifa
- Bandari kavu  itakayojengwa itahudumia nchi za malawi, Zambia na Congo
- ujenzi wa Bandari kavu utaongeza ajira na pia utasaidia kuboresha huduma za shirika la reli Tazara
Ameitaka halmashauri na Mamlaka YA bandari kukamilisha haraka uthamini na ulipaji fidia ili ujenzi uanze mapema

0 comments:

Post a Comment