Saturday, August 26, 2017

Neno moja kwake tafadhali!

2 comments:

  1. Ni binadamu pia anahitaji kuhurumiwa! hata kama ni mkosefu bado upendo unahitajika juu yake ili abadilike!

    ReplyDelete
  2. Na bado hana hatia, mpaka Mahakama imtie hatiani.
    Jamani, tuwe na huruma na binadamu wenzetu waliozaliwa na wenye haki ya kuishi kama mimi na wewe unaefanya kite ndo hiki. Mabadiliko yanakuja, utawala wa sheria unakuja na haya matukio itakuwa historia katika nchi yetu. EAAM

    ReplyDelete