Posted by Williammalecela.com on Monday, September 04, 2017
 |
Wizara
ya Afya nchini
Misri imeeleza kuwa Mahujjaj 35 wa nchi hiyo wamefariki
dunia wakati wa siku ya kwanza ya Hijja iliyomalizika nchini Saudi
Arabia sababy ya uchovu na umri mkubwa.
- Imeelezwa kuwa, umri wa Mahujaji waliofariki ni kati ya miaka 60 hadi 85. |
0 comments:
Post a Comment