Monday, September 4, 2017


Mbunge Wa Nyamagana mhe Stansilous Mabula ametunikiwa cheti cha heshima na kaimu Katibu Mkuu Wa umoja Wa Vijana mhe Shaka kwa kutambua mchango wake alionao katika Ujenzi Wa umoja Wa vijana mkoani Mwanza.

Mwingine aliyepokea cheti ni kamanda Wa Mirongo ndg Ahmed Misanga.

0 comments:

Post a Comment