
RATIBA YA MAZISHI YA MUHINGO
RWEYEMAMU LEO 5/9/2017.
Asubuhi Saa 2:00 -300: Chai nyumbani kwa Marehemu, Mbezi Msigani.
Asubuhi Saa 3:00- 5:00:Ibaada Kanisa la KKT Mbezi Luisi,lilipo Kibanda cha Mkaa,Mbezi.
Saa 5:00-6:00:Msafara kwenda Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Mchana Saa 6:00-8:00: Hafla ya kuaga mwili Mnazi Mmoja
Mchana Saa 8:00-8:20:Kuelekea Kinondoni Makaburini
Mchana Saa 8:20-9:00:Maziko Kinondoni Makaburini.
Jioni Saa 9:00-10:00:Kurejea nyumbani kwa Marehemu Mbezi Msigani
Kwa Mawasiliano zaidi:
*Stella Nyemenohi 0758295529*
*Joyce Mmasi 0714233929*
Mchana Saa 6:00-8:00: Hafla ya kuaga mwili Mnazi Mmoja
Mchana Saa 8:00-8:20:Kuelekea Kinondoni Makaburini
Mchana Saa 8:20-9:00:Maziko Kinondoni Makaburini.
Jioni Saa 9:00-10:00:Kurejea nyumbani kwa Marehemu Mbezi Msigani
Kwa Mawasiliano zaidi:
*Stella Nyemenohi 0758295529*
*Joyce Mmasi 0714233929*
0 comments:
Post a Comment