Saturday, September 9, 2017


LIVE STRAIGHT TALK:- The Art of Super Unafiki sisi Wabongo
ni wanafiki tena wa ajabu sana na huyu Rais Magufuli atapata taabu sana pamoja na kwamba anachofanya ni kutusaidia sisi wenyewe tena kwa faida yetu wenyewe Wananchi na Taifa kwa ujumla lakini tayari ameshakuwa adui mkubwa sana wa anaotaka kutusaidia yaani Wananchi na hasa Viongozi na hasa ninasikitishwa sana na tabia za baadhi ya Viongozi wengi wa zamani ambao wamekaa madarakani almost all their lives hawakufanya lolote la maana zaidi ya kulifikisha Taifa pabaya sana leo wapo wanahangaika sana kumu undermine Rais Magufuli 

...katika huu Mwaka Mmoja na chenji wa Magufuli Style nimejifunza mengi sana na la msingi sana ni kwamba kumbe Viongozi wengi wa zamani wa Taifa walikuwa wanategemea watam Remote Control Magufuli Masikini wa Mungu wamepiga chini wao na wafanyabiashara wao wote sasa wanalia in the Private kuwa Rais wa sasa hafai ...mpaka viongozi waliokuwa mabingwa wa kuminya haki za wenzao wakidhani Rais Magufuli atawaogopa kwa sababu wapo ndani ya CCM wote saaa wamegeuka mabingwa wa Ukweli na Haki za binadam inafurahisha sana wamesahau maovu yao yote waliyowafanyia wengine 

...ninamshukuru Mungu I have lived long enough kujionea ninayoyaona leo yaani Uongozi wa Haki na Usawa now naomba niseme hivi hakuna Binadam mkamilifu hata Rais Magufuli sio mkamilifu ana mapungufu yake lakini NIA NA MADHUMUNI YAKE KWA UMMA NA TAIFA NI NJEMA na naomba kusema bila kufikiri kuwa wanaompinga nia yao sio njema kwa Taifa na Umma wanapigania matumbo yao ni afadhali Wapinzani wanaompinga kwani Taifa tunawalipa ruzuku kumpinga ila Viongozi walioko CCM wanaompinga kichini chini na familia zao wanachopigania ni simply matumbo yao tu ...huwa ninajiuliza hivi mlipokuwa madarakani kwa miaka yote iliyopita hamkuchota za kutosha mpaka leo mnahangaika hivi kumu indermine Rais wa sasa tena na mambo ya kijinga sana na ndio sasa wanao ongoza kumpelekea yule Tahila habari za majungu na udaku ...Wanafiki wakubwa mlitaka makontena yaendelee kuingia na kutoka bure Bandarini! mlitaka Serikali iendelee kukopa mishahara ya wafanyakazi wake kwa Wahindi? what a shame? Rais Magufuli KANYAGA you have 100% Support from some of us! - le Mutuz SB

0 comments:

Post a Comment