Posted by Williammalecela.com on Friday, September 01, 2017
 |
Rais
wa kenya anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta na Makamu wake William
Ruto
wakifatilia kwa ukaribu hukumu ya kesi ya kupinga matokeo ya
uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe 08.08.2017 Ambapo mahakama imeamuru uchaguzi wa urais urudiwe na ufanyike ndani ya siku zisizozidi 60 kuanzia Leo. |
0 comments:
Post a Comment