Tuesday, August 19, 2014

http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/696x392/aug_14/gun__1407400816_ucl_arsenal_v_besiktas.jpg 
Beki wa kushoto wa Arsenal, Kieran Gibbs atakosa mechi zote za ligi ya mabingwa dhidi ya Besiktas baada ya kuumia eneo la uvungu wa goti.
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/1000x563/jan_13/gun__1357739288_gibbs02.jpgGibbs atakaa benchi kwa takriban majuma matatu baada ya kuumia wakati wa mchuano kati ya Arsenal na Crystal Palace siku ya jumamosi.

Pia mshambualiaji Yaya Sanogo hajasafiri kwenda uturuki kwa ajili ya mpambano wa leo
http://static.guim.co.uk/sys-images/Sport/Pix/columnists/2014/2/19/1392847944723/Yaya-Sanogo-011.jpg 
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amesema anatamani kupambana na timu zilizo juu zaidi barani ulaya
http://images.football365.com/12/11/800x600/Manchester-United-v-Arsenal-Arsene-Wenger-pa2_2855230.jpg 
Leo Arsenal itacheza mechi ya kwanza dhidi ya Basiktas nchini Uturuki.

Arsenal iliidhidbiti klabu nyingine ya Uturuki Fenerbahce katika hatua ya makundi msimu uliopita


0 comments:

Post a Comment