Monday, August 4, 2014

"safi sana kaka LE MUTUZ awa mamburula huku china wanalichafua sana jina la Tanzania pia wanahatarisha maisha ya wasichana wa Tanzania kwa kushirikiana na Wanigeria kwani ukiacha biashara za ukahaba pia uwaingiza kinguvu kubeba SEMBE pia kumekuwa na cases za baadhi miili ya wasichana kupatikana imetupwa huku ikiwa imenyofolewa FIGO kwani biashara ya figo kwa china imeshamiri sana kwani watu wengi wanamatatizo ya figo
Anyway nimeanza na huyo bosi wao mkuu bado nakusanya taarifa za wengine kwani awa mabosy lady wapo wengine naendelea kukusanya taarifa zao na nikikamilisha basi lazima kuwaanika laivu makavu laivuuu"

0 comments:

Post a Comment