Posted by Williammalecela.com on Sunday, August 31, 2014
Mdau Bhoke Wambura akikata keki wakati wa hafla yake fupi ya kuzaliwa kwake iliyofanyika hivi karibuni kwenye hoteli ya Kebbys mwenge jijini Dar es salaam wadau wote wa Fullshangwe wanamtakia mafanikio katika maisha yake.
Mdau Bhoke Wambura akilisha keki rafiki yake Rose Muna Love wakati wa hafla hiyo.
0 comments:
Post a Comment