Bingwa namba mbili wa mchezo wa Tenis Rafael Nadal amejitoa kutoka
kwenye michuano ya US Open kutokana na jeraha la kifundo cha mkono wa
kulia.![]() |
| Nadal alipata jeraha alipokua kwenye mazoezi mwezi julai hali iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mechi mbili za kujipima . Nadal alikua na matumaini ya kupona kabla ya tarehe 25 mwezi huu. |
Tuesday, August 19, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment