Bw. Abbas Abraham Afisa Mawasiliano na Bi Hawa Ladha Meneja Miradi endelevu wa Serengeti Beer wakizungumzia fursa za ufadhili kwa wanafunzi zinaopatikana na EABL Foundation. Fursa hii ya ufadhili ni mpaka 30th September 2014
SBL: WANAFUNZI KUPATA UFADHILI WA CHUO KWA 100%
DAR-ES SALAAM 22 September 2014. Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia mradi wa EABL foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikewemo karo, malazi na fedha ya kujikimu kwa mwezi.
Mwaka huu, mradi utatoa ufadhili kwa somo ya michupuo shahada ya biashara, uhandisi, sayansi ya chakula, teknologia ya mawasiliano na kompyuta kwa wanafunzi ambao wamefaulu kidato cha sita na hawana uwezo wa kujilipia.
Meneja Mradi Endelevu Bi. Hawa Ladha alisema ufadhili huo ambao hufanyika mara moja kwa mwaka ni kwa watanazania wanaotaka kusoma kwa vyuo vya hapa nchini “Wanafunzi waliokizi vigezo vyote vya kuomba ufadhili huo watawezeshwa kusoma na kufanikiwa katika malengo yao,” alisema
Meneja Hawa aliongeza ufadhili huo wa kipekee ni kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia na akawashauri vijana kuchangamkia fursa hizo kwani muda wakuomba haujaisha. Fomu za ufadhili zinapatika katika tovuti ya www.eablfoundation.com na zimebaki siku kumi tu!
Maombi hayo ni lazima yambatanishwe na barua ya wito ikionesha mojawapo ya michepuo anaotaka kusoma, uthibitisho wa kuonyesha kuwa muombaji hana uwezo wa kifedha kwa ajili ya masomo, kuwasilisha nakala ya vyeti cha kumaliza elimu ya kidato cha sita na cha nne, fomu ya maombi iliyojanzwa barua ya kukubaliwa masomo ya chuo kikuu.
Pia Wanafunzi ambao hawajapata barua za kujiunga chuo kikuu lakini wanasifa za kujiunga wanaruhusiwa kuomba. Kwa taarifa zaidi wanafunzi wameshauriwa kutumia mitandao ya kijamii kwa kutembelea tovuti ya www.eablfoundation.com
Mradi huu wa EABL Foundation ulianza ufadhili kwa wanafunzi wa chuo tangu mwaka 2005 na wanafunzi waliomaliza wapo zaidi ya 200 kutoka Afrika Mashariki. Hapa Tanzania Zaidi ya wanfunzi 26 wameshapat ufadhili huu na wanfanya kazi katika kampuni mbalimbali.
Mradi wa EABL foundation hutumia milioni 39,600,000 kila mwaka kufadhili wanafunzi wa chuo.Had sasa wameshatumia bilioni 316,800,000 kwa miaka nane.
DAR-ES SALAAM 22 September 2014. Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia mradi wa EABL foundation, mwaka huu tena imetoa ufadhili wa masomo ya chuo kikuu kwa kugharamia kwa asilimia 100 ikewemo karo, malazi na fedha ya kujikimu kwa mwezi.
Mwaka huu, mradi utatoa ufadhili kwa somo ya michupuo shahada ya biashara, uhandisi, sayansi ya chakula, teknologia ya mawasiliano na kompyuta kwa wanafunzi ambao wamefaulu kidato cha sita na hawana uwezo wa kujilipia.
Meneja Mradi Endelevu Bi. Hawa Ladha alisema ufadhili huo ambao hufanyika mara moja kwa mwaka ni kwa watanazania wanaotaka kusoma kwa vyuo vya hapa nchini “Wanafunzi waliokizi vigezo vyote vya kuomba ufadhili huo watawezeshwa kusoma na kufanikiwa katika malengo yao,” alisema
Meneja Hawa aliongeza ufadhili huo wa kipekee ni kwa wanafunzi ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia na akawashauri vijana kuchangamkia fursa hizo kwani muda wakuomba haujaisha. Fomu za ufadhili zinapatika katika tovuti ya www.eablfoundation.com na zimebaki siku kumi tu!
Maombi hayo ni lazima yambatanishwe na barua ya wito ikionesha mojawapo ya michepuo anaotaka kusoma, uthibitisho wa kuonyesha kuwa muombaji hana uwezo wa kifedha kwa ajili ya masomo, kuwasilisha nakala ya vyeti cha kumaliza elimu ya kidato cha sita na cha nne, fomu ya maombi iliyojanzwa barua ya kukubaliwa masomo ya chuo kikuu.
Pia Wanafunzi ambao hawajapata barua za kujiunga chuo kikuu lakini wanasifa za kujiunga wanaruhusiwa kuomba. Kwa taarifa zaidi wanafunzi wameshauriwa kutumia mitandao ya kijamii kwa kutembelea tovuti ya www.eablfoundation.com
Mradi huu wa EABL Foundation ulianza ufadhili kwa wanafunzi wa chuo tangu mwaka 2005 na wanafunzi waliomaliza wapo zaidi ya 200 kutoka Afrika Mashariki. Hapa Tanzania Zaidi ya wanfunzi 26 wameshapat ufadhili huu na wanfanya kazi katika kampuni mbalimbali.
Mradi wa EABL foundation hutumia milioni 39,600,000 kila mwaka kufadhili wanafunzi wa chuo.Had sasa wameshatumia bilioni 316,800,000 kwa miaka nane.
0 comments:
Post a Comment