MANCHESTER United wameonekana kuwa na bahati ya kujiepusha na majanga baada ya mchezaji waliyemuwania kwa muda mrefu majira ya kiangazi mwaka huu, Arturo Vidal kupata majeruhi tena ya goti akiwa katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Chile kujiandaa na michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki iliyopo katika kalenda ya FIFA.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment