Friday, September 5, 2014

1409872489974_wps_15_Juventus_Martin_Caceres_CKafungua ushindi: Arturo Vidal aliichezea Juventus ikishinda 1-0 dhidi ya Chievo katika mechi ya Seria kabla ya mapumziko ya kupisha mechi za kirafiki za kimataifa.
MANCHESTER United wameonekana kuwa na bahati ya kujiepusha na majanga baada ya mchezaji waliyemuwania kwa muda mrefu majira ya kiangazi mwaka huu, Arturo Vidal kupata majeruhi tena ya goti  akiwa katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Chile kujiandaa na michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki iliyopo katika kalenda ya FIFA.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment