Posted by Williammalecela.com on Tuesday, September 30, 2014

Mh. Sugu, Faiza Ally na mtoto wao Sasha.
Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ! well....kupitia Instagram Faiza ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema. Faiza aliandika........

0 comments:
Post a Comment