Posted by Williammalecela.com on Tuesday, September 30, 2014
 |
"Kuna
mtu amejua kuniharibia mudi yangu sana huku Instagram najuta kuingia
lol... Sasa wewe na wengine ngoja niwatoe mawazo leo manina zenu nyie
... mimi sijaachana na baba sasha nimemuacha Mbeya kwa sababu ya
matatizo ya kifamilia na tulishindwa kuyatutua ! Kama unazani labda ni
vichupi vyangu unakosea sana ... Baba Sasha anapenda mavazi yangu sio
mavazi tu mpaka tatoo zangu na life style yangu tumeshindwa kwa yetu
ambayo hayahusiani na life style ninayo ishi sawa sawa ??? Anajua
picha zangu na maisha yangu yote tena zaidi na hayo unaya yaona kwenye
mitandao ! sawa mbali na ubunge yeye ni msanii ambae amepitia maisha
Mengi na anajua Mengi ambayo hawezi kushangaa lolote ... Na bahati nzuri
ni mjanja Sasa wewe na ujinga wako unae zani mavazi ndio kila kitu kaa
na upumbavu wako hayani wewe!!!!! Na Kama unazani nguo ndefu na mabaibui
ndio heshima una kosea sana .... Kwa taarifa yako mimi ni bora sana na
siihitaji wewe wala mwingine ajue nikijua mm na watu wanao nizunguka
inatosha sawa sawa nawajua wengi wasio vaa bikini wala nguo fupi na ni
wabaya na malaya , wahuni walio pitiliza Pumbavu wewe ! Mimi napenda
kuvaa uchi na siachi mpaka ntakapo amaua sawa sawa ? Tena wote mnao
chukui mavazi mnikome na Kama hupendi ninacho andika na picha ninazo
posti ni block mjinga 1 wewe.." |
0 comments:
Post a Comment