Tuesday, September 30, 2014

September 26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii ukitoa party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya kuvutia. Siku hiyo Diamond platnumz aliamua kumzawadia zawadi ya gari mpenzi wake Wema Sepetu gari aina ya Nissan Murano ambapo alipost instagram na kuandika maneno yafuatayo yaliyoambatana na picha ya zawadi hiyo. 
 

0 comments:

Post a Comment