Monday, September 15, 2014

 
Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans (katikati) akiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar.

Mahaba mahabani! Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa staa mwenzake ambaye ni mwandani wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefika kwenye penzi lake ndiyo maana ametulia kwani amepata ‘malovee’ aliyokuwa akiyatafuta siku zote.Chuchu alitoa kauli hiyo kwenye sherehe fupi ya kuzaliwa kwake iliyofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar ambapo alikwenda kujumuika na watoto wachanga hasa wale waliofiwa na wazazi wao pamoja na waliozaliwa siku hazijatimia ‘premature’

 
Chuchu Hans akiwa na Ray.PICHA ZAIDI>>

0 comments:

Post a Comment