LEMUTUZ

Wednesday, September 10, 2014

NAPE AKUTANA NA BALOZI UINGEREZA

Posted by Williammalecela.com on Wednesday, September 10, 2014
1Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe akizungumza na  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza mjini London ambapo walizungumza masuala mbali mbali yakiwemo ya Uchumi,Siasa pamoja na Diaspora.
2Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe akipiga picha na  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza mjini London baada ya kumaliza mazungumzo3
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT