Monday, October 13, 2014

Mtangaziji wa kike ambaye sasa anapiga kazi katika kituo cha Redia E Fm cha jijini Dar Maimatha Jesse 'Mai'hivi karibuni alifichua siri ya kuwa na mafanikio nje ya utangazaji kuwa ni biashara ya nyeti bandia za kiume na kudai kwamba zinalipa.Bila wasiwasi,Mai alitoboa siri kwamba bishara hiyo
ilimpatia pesa nyingi kutokana na wanaume wengi kuwa na matatizo ya nguvu za kiume na kushindwa kuwaridhisha wapenzi wao hivyo kuwafanya kutumia nyeti hizo.

Alisema nyeti bandia zinazolipa ni zile zinazotumia umeme na zenye mitetemo.

0 comments:

Post a Comment