Rapa kutoka La familia Ilala Chid Benz mchana wa October 28 amesimamishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka yanayomkabili.
Mashtaka matatu yanayomkabili Chid Benz ni;-
- Kukutwa na madawa na vifaa vya kutayarishaji uvutaji wa madawa
- Kusafirisha madawa ya kulevya
- Utumiaji wa madawa ya kulevya

0 comments:
Post a Comment