Yani
anavyoling'ang'ania hilo taji utadhani ni makalio likichuliwa atabaki
mifupa mitupu? Yani mtu unaongea uongo hadi unajustukia? Halafu yule
rafiki yake chaga anavyoshangilia utadhani ye ndo miss no. 2!! Yani hii
haijakaa sawa kabisa. .nimeiangalia ile video ya anavyohojiwa nipo
nyumbani lakin nikawa naona aibu kama niko pale ..miss ana maringo. .ana
jeuri na short answers kuliko hata mpoki! !? Lundenga mwenyewe anaongea
huku unamuona kabisa hajielewi. .sijui ndo laana ya kumpiga mkewe? Yani
jana wameniharibia siku. .jana ndo anaonekana kweli kama ni mkubwa
misuli ya shingo imemtoka utadhani kitu gani. .yani kwakweli am
speechless. .
Huyu miss ni muongo sana hata ujibuji wake unaonesha kama anasema uongo Halafu
nyie mnaomsema sara mumuache mtoto wa watu mnaomna wivu kwasababu nyie
hampendwi na waume zenu kama anavyopendwa yeye she is good girl na
ametulia na familia yake na mumewe handsome kutwa mwamtaka lakin mnaona
hawataki ndio maana katulia na mkewe i love this couple wanapendezana
sana
Mfyuuuuuu.
. . Bora wasingefanya kabisaaa hyo press conference. Yani ndo
wamejiaibisha sanaaa. Uongo wa mchana kweupe. Wangejikausha tuu kama
kawaida ya Tz,mambo yangepita.
hhehehehehe.SHESHE
hili.Jamani kama vilivyopatikana pasi ya kusafiria na leseni ya udereva
tunaomba wale wambea wetu wakatafute hiko cheti kilichopotea popote
duniani.Hata huko chuoni aliposoma lazima aliacha nakala.Wafuatiliaji
wapo.Mi ntakua nasubiria habari.Nawakubali najua mtafanya kazi Hii skendo ya miss Tanzania mwaka huu haijapata tokea.Aise ni SHEEEDAH(in TI s Voice)hahahahhaha
NAANDIKA
COMMENT HII KWA MASKITIKITIKO MAKUBWA SITII MTEMVU JANA UMEONGEA MBELE
YA WATANZANIA KWAMBA UNA MIAKA 23 NCHI NZIMA NA MAJIRANI WAMEONA KILA LA
KHERI IPO SIKU UTAKUMBUKA NA UTAJIFUNZA KUSEMA UKWELI WATU WAMEANNDIKA
WANATUMA VIELELEZO VYAKO MISS DUNIA NI AIBU GANI UTAKAYOIPATA UFIKE
USIPANDE LILE JUKWAA? UTALIA KILIO CHA MBWA MIDOMO JUU. SISI TUPO
TUNASIKILIZA. OUT OF TOPIC .. Jana nimeota namegana na kigogo
mjengoni kwake bdae tumemaliza mke wake kaja aakniambia nimslaimie afu
niondke weee nilichezeshewaje kichapo ila nimeota nw naanza mikakati ya
kumsaka nafanya kweli aiwezekani kwenye huyo mwanamke kanitesa kiasi iko
ntafanya ntarudi kwenu kuwajuza kilivhojiri.
Jamani
huyu binti anatia huruma kweli,anaulizwa khs passport na DL yake ya
texas eti anajibu ni personal life hawez jibu,kama alireport police
kupotelewa na cheti eti hakujiandaa na hilo swali,maskini anatia huruma
bibie.
sitti
mtemvu libayaaaaaa hata ajitetee vipi ni libaya sura yake ya kizee hata
miss world asiende kabisa manake hata mia bora haingiii. Lundenga
akubali tu kwamba miss Tanzania wa mwaka huu siti mtemvu hajakubalika na
watu wengi. akafie mbereeeeee
Yn
huyu ndo hajielew kbsa,,ivi zile dharau ndo tabia za kimarekani au?Baba
ake ale pesa zetu za kodi lenyew kulia bata bado mama mzima huyo
kung'ang'ania crwn,,sura imemkomaa,,,aende huko n asiombe aadress jamii
tutaenda ili kumzomea
Sitti
sijui utaendaje kushiriki miss world mamaa, tarayari una passport ya
Tanzania ya umri wa miaka 25 sijui 26, na tayari ulishachukukuliwa
finger print, hizi detail zote zinabaki kwenye system. siku unakanyaga
tu mataifa ya wenzetu na kuchukuliwa finger tena raima itamatch na
detail zako za nyuma, jina ni lile lile sura ni ile ile, finger ni zile
zile, sijui sasa hapo wewe mwenyewe itakuwaje, na je sijui umeshaenda
omba Pass mpya? kwa hii mijadala sijui kama immigration watakupatioa
kweli maana na wao lazima watie mashaka juu ya hii issue na mjadala
uliopo sasa, bi dada naomba tu kama utaweza anza sasa kutafuta
kisingizio tu cha kuto enda kushiriki hiyo miss world, kwanza huna
confides kabisa katika kujieleza, pili tayari utakuwa na wasi wasi juu
ya macho ya watanzania, tatu hautakuwa huru kushiriki kazi za kimisi.
Jamani
ni ibuuuuuuuu cheti chake cha kuzaliwa ambacho ni kipya kinaonyesha
kimetengenezwa mwezi uliopita. Yani ni aibu vibaya mno. Yani ukiona
alivyohojiwa ndo mtavhanganyikiwa. Kwakweli hatuwezi kuwakilishwa na
kituko Kama hiki.
Ila
ki ukweli hii press conference sio siri Lundenga na Sitti mwenyewe
wamejiaibisha sana tena sana, wewe unabanwa na maswali unajibu kwa jazba
kiasi kile, yani majibu yake yamedhihirisha wazi kuwa Sitti ni muongo
na amedanganya miaka, cheti chenyewe kimetoka last month, kweli Bongo
kila kitu kinawezekana aisee, hata akija mama Kim K na kashepu kale aje
agmbee umiss na aseme ana miaka 19 atapata tuu... Mrs Lundenga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!... ila ni aibu kubwa sana kwa Tanzania aisee
Lundenga
na Sitti Lundenga Mtenvu wote wajinga, wasitufanye cc mafalaaa,
alishakula pesa za mtenvu unazani atamvua taji mmmmfyuuuuuuuuuuuuuu
pambavuuuuuuu,,,,,,,,,,,,,,,,
huyu
mbaba anajidefine jinsi ambavyo anakili fupi.unajua unachokitetea ni
upupu..lkn kwa kuwa ni mjinga hutumii akili uko radhi uendelee kutetea
ujinga kwa gharama zote.Hata ikibid kuwaponza hao waliowatolea copy
nyingine ya chet cha kuzaliwa .. (Rita), Immigration..hiz taasisi nyeti
inaonyesha jinsi gan nchi imeoza .pesa yako tu unaweza kupata chochote.
Ingekuwa nchi nyingine hiyo n scandal kwa government.. Maana sector
nyeti kama Immigration kuforge passport n birth certificate kwa Rita.. Huyu mmama hats simlaumu sana kama baba na mama wanadanganya kiasi hicho na mzee mzima Lundenga..sasa mtoto atakuwaje si balaa. Ila
ujinga zaid we miss Ludenga umeharibu status yako in future..hasa
utakapo taka kwenda kuishi au kufanya kazi ..tayari information zako
ziko exposed sasa sijui utaforge na huko. Hapo ndo ujinga wenu ulipo.ulitaka fame ya muda hukuangalia effects za mbele.
Kwendeni
zenu wewe Lundenga na huyo miss wako, huyo ni bibi hata ukikataa ona
uso ulivyo mshupaaa apo juu utadhani jiwe la aghakani, eti hoooo kama
mnasema amezaa leteni cheti cha mtoto, huyo mzee ni mjingaaaaa apumzike
sasa, eti anasemaje mimi siyo kazi yangu kuchumnguza mtu akisha leta
vielelezo ninavyotaka basi sina shida na mtu, kumbe cheti cha kuzaliwa
walichokionyesha apo kimetengeneza juzi nancessss kabisaaaa, yaani
nikwaona mtaani mtawapopoa na mawe
Huyo
Lundenga ndo katuona washamba wa kupindukia sanaaa,cheti
wamekitengeneza cha september alafu wanasema ndo original,aonyeshe
passport yake basi kama kweli itakuwa na mwaka 1991,Jamani tumesoma na
huyo siti she is born in 1989.. Afu sura imemparama huyo Sitti Utomvu
na anajibu mwaswali kwa kejeli hivi hawajui waandishi wa habari au
watamvuruga kama makande mabichi.
Whaaaaat?
yani wametuona siye mapoyoyo eee??? subiri tuforward mambo miss world
ili wakajing'ate vizuri ye na lundenga wake,kusoma hujui basi hata PICHA
waswahili wanasema MFICHA MOTO MOSHI HUMUUMBUA"
::::::hii
kitu nashindwa kuwaelewa watanzania. kuna viongozi kibao wana maskendo
kuliko huyo miss. tena maskendo yanayoigarimu inchi. hiyo hamuoni mmeona
miss tu pumbafu zenu. manina OOT::::::BONGO STAR SEARCH IMEISHIA WAPI?
Ila
huyu demu ni mkavu aisee sijapata kuona. Hivi hao unaotaka
kuwawakilisha hawakutaki, bado umo tu!! Makubwa haya mie toto la
kisukuma. Halafu kweli bwana anaonekana kijeba kwa kumwangalia tu. Hivi
angalieni jisura lako na wale wawili waliofatia!! wenzake wanaonekana
visweet, vidogo bado. Lenyewe sasa sura mkomavu.
Uyu
dada ni muongo daah et chet cha septemba haki ya mungu hii bongo mtu
anaeza kufanya madudu wala asichkuliwe hatua et anajifanya kapoteza chet
alafu taarifa ya polisi hakwenda nayo yan awa watu wanatia hasira mi
ata nakosa la kusema