Staa wa muziki wa kizazi kipya Esterlina Sanga ‘Linah’.
Ilikuwa ndani ya Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar kulikokuwa na Tamasha la Fiesta ambapo paparazi wetu alipokuwa ‘back stage’ na kutaka kuwapiga picha, kila mmoja alijiachia na kuonesha mapaja yake kana kwamba walikuwa wakishindana kuonesha nani anayo mazuri.
Hata hivyo, hakuna aliyekuwa tayari kuzungumzia namna alivyovaa ila mara nyingi Linah amekuwa akisema, yeye kama msanii haoni hatari kuvaa hivyo.
0 comments:
Post a Comment