Simon na Angie wakiwa kwenye ndoa yao iliyofungwa Jumamosi Oct 25, 2014 mjini Winston Salem jimbo la North Carolina nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu jamaa na marafiki.
Simon akimchum kwa mara ya kwanza Angie kama mke wake.
Wapambe wa bwana harusi.
Madhari nzuri inavyoonekana wakati ndoa ikiendelea.
Wageni waalikwa wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.
kushoto ni wazazi wa Angie Mr & Mrs Chesebro wakiwa pamoja na kaka zake Angie
Pastor Er Groover akiwafungisha ndoa Simon na Angi
0 comments:
Post a Comment