Kuna malalamiko mengi tumekuwa tukiyasikia kuhusu Ikulu za nchi kuhusishwa na ufujaji mkubwa ama matumizi mabaya ya fedha.
Hizi ni picha na orodha ya Ikulu tano zinazoongoza kwa matumizi makubwa zaidi ya fedha duniani.
No. 1- Jumba jipya la Ikulu ya Uturuki, liko katika jiji la Ankara na kwa sasa huenda likawa jumba kubwa zaidi kuliko Ikulu ya Marekani. Ujenzi wake umegharimu zaidi ya Dola Mil. 350.
No.2- White House, Ikulu ya Marekani. Ikulu hii iko Washington D.C, na imekuwa ikitumika kama Ikulu tangu mwaka 1800, Marekani ikiongozwa na rais John Adams.
No. 3- Planalto, Ikulu ya rais wa Brazil. Iko katika jiji la Brasilia. Imekuwa ikitumika kama Ikulu tangu mwaka 1960, wakati huo rais akiwa Oscar Niemeyer.
0 comments:
Post a Comment