- Henry Tzamburakis, Asha Kambi, Kayombe Ozil Sanches and 18O8 others like this.
- 26 mins ·
- Faiza Ally Kama huyu yaani ni sheeder Ummy Rooney Coutinho Msusi25 mins ·
- Ummy Rooney Coutinho Msusi Mapungo Ndo Wanaosumbua inbox Mara Nyingi Wenye Pesa Wanajua Jinsi Ya Kumuingia Mwanamke..
- Mimi Jay Jay Ha ha ha ha ha ha! Yani nasikiaga kucheka janaume halina pesa then eti anataka uwenaye. nakelekwa19 mins ·
- Faiza Ally Umeona eee Ummy Rooney Coutinho Msusi Denisy Muhozya mwanzo alinileteaga swaga za kuishi nje Mara hivi Mara vile yaani mjinga hata kutongoza hajui
- Janicefarry Mwakapala Mmh huo ubakaji nao...def ya kubaka ni kufanya mapenzi bila hiyari sasa huyu cjui ndo kazi zake loh17 mins ·
- 17 mins ·
- Manase Theangel Youdontknow Noma , jamaa yuko fasta lol17 mins ·
- 16 mins ·
- Ummy Rooney Coutinho Msusi Yaani Faiza Ally Umeliweza Ilo Lishamba Natamani Na Mm Niyasaule Huku Kwangu Mengi Sana ..Hayana Pesa Kutwa Kushinda Inbox Mara Za Asubuhi?Umekula Nn?Yaani Wanakera Aise
- Faiza Ally Janicefarry Mwakapala inawezekana kesha Baka zamani maana tabia zake zinafanana na wabakaji Marty Daville nimesema sitaki msg na matusi juu a hiyo ndio stahili yake yamkute13 mins ·
- Ummy Rooney Coutinho Msusi Yuko Nje Wapi Iyo Faiza Ally Ni Mshamba Tu Wa Usukumani Huko Kwani Akiwa Nje Ndo Ww Alizani Utashoboka Eti,tushamsaula Aje Tena Inbox Na Jipya
- Faiza Ally Manase Theangel Youdontknow sana na Hana adabu mtu akisha sema hataki basi haheshimu matakwa ya mtu lol Ummy Rooney Coutinho Msusi hahahahahaaaaa sana yaani lol lichambe tu
- Rebeca Shiliwa Uwiiiiiiiiii haaaaa haaaa majanga mbona majanga pole kaka mtu anakuuliza umekula na Wakati hujatuma hela ina Hu usione vyapendeza ujaue vimeundwa haaa
- Faiza Ally Mwenzangu Ummy Rooney Coutinho Msusi eti ana niita mimi mshamba jamani mm na yeye sijui nani mshamba na vinywele vyake Kama fido dido
- Linah Brighton Umeonaaa eeeh! wa2 kama hawa ni kukaribishiana umasikin, akajifunze kwanza kumpata mwanamke mrembo lzm ujipange c kuvaa surual ndo kigezo.
- Faiza Ally Tenaaaaa Rebeca Shiliwa ana jua vinapatikana ki urahisi
- 9 mins ·
- Manase Theangel Youdontknow Tatizo ni stalkers wa aina hii , kukubali ukweli hawaelewagi lol @faizA Ally
- 7 mins ·
- Angel Michael Khaa nishidaa yapo mengi xana umu bidada Faiza we liseleleshe tu limezidi kubwa jinga kaona nje dili ajui watu wanaenda daily
- Jestina George Meru Umejua kumkomesha5 mins ·
- Rebeca Shiliwa Haaaaaa haaaaa me mbululu km hao nawapotezea km kweli anajiamini atukane in wall co inbox ovyo kbs5 mins ·
- Faiza Ally Angel Michael tena wanaenda na kurudi yeye naona kafumbua macho ndio kapata safari ya kwanza na naona hata kurudi hataki anahisi ndege Itamuacha hahahahaaa Rebeca Shiliwa ana jiweza hahahaaaa4 mins ·
- Linah Brighton Haya xaxa ujumbe umefka kuna wengne inbox uta2miwa mpaka txt za kifaransa, hv inahuuuu? tena ccta acha nlishadadie maana washa2chosha.3 mins ·
- 3 mins ·
- Ummy Rooney Coutinho Msusi Tafuteni Pesa Wanaume ,
- 1 min ·
- Subira Johnson hahahaaaa faiza umetisha cdhan kama atarudia tena kaingia paspo ingilika mamiiii poleeeee1 min ·
"Ameamua kuingia in box kunitukana kisa sitaki msg zake in box.... Na ukifatilia status zake utamjua ni tu wa aina gani... Kifupi ana hasira hapati wanawake wazuri kwa sababu Hana hela ... Jamani kha! Upendwe bila hela una nini wewe ? Fanya Kazi utapata wanawake wazuri ... Vizuri garama kaka pole"


















0 comments:
Post a Comment