Msanii nyota wa filamu nchini, Jack wa Chuz akimtunza msanii mwenzake, Rose Ndauka Sherehe hiyo ya Rose, ambaye alizaliwa siku moja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ilishuhudia mastaa wengi wa kike walioalikwa, licha ya kunywa na kula kwa kadiri walivyojisikia, lakini pia wakiwa wamevalia vivazi vilivyoonyesha sehemu kubwa ya miili yao.
Friday, October 10, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment