Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Ahamedy Ally Upete aka Geez Mabovu amefariki dunia usiku wa saa mbili ya leo baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa miezi kadhaa.
Wiki kadhaa zilizopita Geez Mabovu alielekea kwao Iringa kwa matibabu zaidi na ndipo hali yake ilibadilika na kuwa mbaya hadi umauti ulipomkuta hii Leo.
Chanzo: East Africa Radio
Thursday, November 13, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment