Saturday, November 22, 2014



BW;REGINALD  MENGI
VIONGOZI MLIOCHAGULIWA...Wananchi waliwamini wakawapa kura zao. Leo baadhi yenu mnawasaliti waliowachagua kwa kutetea wezi wa fedha za umma

Acha Mungu aitwe Mungu. Amewaweka hadharani wasiofaa kupata kura yeyote 2015 kwa kutetea wezi wa fedha za umma

0 comments:

Post a Comment