Posted by Williammalecela.com on Tuesday, December 30, 2014
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Kinana amesema kuwa kikao cha kamati
kuu kinachoundwa na wajumbe 14 (7 kutoka kila upande wa muungano)
kimeitishwa kujadili hatima ya mmoja wa wajumbe wa kikao hicho Prof Anna
Tibaijuka.Kikao hicho kitaamua hatma yake ikiwemo ama kubakizwa katika
kamati hiyo,kufukuzwa au kunyanganywa kadi na kufukuzwa kabisa katika
chama kutokana na sakata la Escrow ambapo yeye alipata mgao kutoka kwa
mmoja wa wabia wa kampuni ya ITPL James Rugemalira
Hapa chini Tunakuletea majina na picha za wajumbe wanaokutana gafla kumjadili Prof Tibaijuka
MAJINA YA WAJUMBE WENGINE 13 NI KAMA IFUATAVYO
ENDELEA KUSOMA KWA KUBONYEZA 'Read More' HAPO CHINI
0 comments:
Post a Comment