Friday, February 6, 2015


MASINEMAAA YA IG

from Zari to Esma

from Wema to Esma
Dear Dada Sintah....

Naomba uweke hii topic leo ambayo nimekutumia katika email picha mbili tofauti kutoka huko IG ili wadau wa mambo tudadavue kwenye uwanja huu wa sintah.com maana ilikuwa ni balaaa mpaka Team zote mbili kushindana na wafuasi wao kum wish mdogo wa Chibu......

wewe kama mdau unaona hii imekaaje???
  1. ww andunje umeamua kuweka zote mbona ya Wema hujamalizia yote mnafki mkubwa, utakufa na kijiba cha roho ungeweka na majibu ya Esma tuyaone. tena bb bomba aliweka shemeji badala ya wifi alafu akabadili acha unafiki Sintaaaa
    Reply
    Replies
    1. Esma hakumjibu huyo michirizi wenu aka pumziko la wastaafu acha unafiki team upupu we.
    2. We anony 2:24 AM nawasiwasi hauna smartphone, hebu azima sim hata ya boss wako uingie IG ukaone, ESMA kamjibu Wema tens na msisitizo juu MY LUVLY MKWE heheheee haters mnalooo
    3. hilo neno ZAIDI la nini?

      annaumia rohoni khaaaa, asepe hukooo si alimwacha.
    4. ndo tatizo la kutumia computer za ofcn ht smartphone una matako ww kazi kudakia story kaombe cm uingie page ya wema uone watu na wakwe zao,ww mwnywe michirizi mpk kwenye uchi imekujaa wivu tu umekujaa
    5. ww acha upuuzi rudi katizame vizuri na angalia picha zote kwa ufasaha ww ndio team upuu kujibu kwa kufurahisha mikono yako eti michirizi kuna asie na michirizi domo lenyewe linayo kwenye kwapa
    6. heheeee halooo haters wa zarimond mmeshindwa sasa mmeamia kwenye mkwe
    7. WEMA ANAMUITA ESMA MKWE KWASABABU WEMA ANAMUITA PETIT MAN MTOTO WAKE...kwahiyo esma kaolewa na mtoto wa wema ndo maana wema anamuita mkwe.
  2. Mia naona poa tu hakuna big deal hapo wote tunaujua wema na petition wakoje yaani petit ni mtoto wa wema toka zamani kaka oa ha Zari kuwa na domo so ni poa tu na Zari ndio wifi wa sasa hakuna jipya
    Reply
  3. Zari wifi kupitia Diamond... Wema Mkwe kwasababu ya petitman.. kila mtu esma anahusika nae kivyake...
    Reply
  4. Kawaida sana, they both love esma so sioni haja yakuiweka humu.
    Reply
  5. kwani cha ajabu hapo kipi wote wamemu wish happy b day na kila .moja kajinadi kwa nafasi yake zari wifi akiwa mchumba wa d na wema mkwe kwakua anamuita mme wa esma Toto. wabongo bwana mnapenda chokochoko
    Reply
    Replies
    1. Kwel kabsa sion cha ajabu mpk sinta upost, team ndo zinaleta maneno ila wenyw kila mtu anacheza kwake
  6. kwani cha ajabu hapo kipi wote wamemu wish happy b day na kila .moja kajinadi kwa nafasi yake zari wifi akiwa mchumba wa d na wema mkwe kwakua anamuita mme wa esma Toto. wabongo bwana mnapenda chokochoko
    Reply
  7. Kwani tatizo nini? Wabongo kwa kukuza mambo!! Umbea ndio mnajua. Sasa mlitaka asimuwish au??
    Reply
  8. Kwani tatizo nini? Wabongo kwa kukuza mambo!! Umbea ndio mnajua. Sasa mlitaka asimuwish au??
    Reply
  9. mbona na yangu haujaeka kama unajua kueka comment za watu mxiuuuu ebu wapumzshe kdogo babu wee watu na maisha yao kama supa sta ata aunt mbna supa sta, quendarlin, petitman etc comment zao hazipokwan yan bibi unapenda kufata maisha ya watu looooh ili mradi uckie watu wanatukana wanajibshana ebu tupe vitu productive bwana unatuchosha.
    Reply
  10. unajisheua mtu kakutext kumbe ww mwnyewe na nyege zako mshindo hamna anaeshndana apo kla mtu kamuwish kwa reasons zake Zari as wifi and Wema as mkwe wake asa shida iko wapi ebu mcpende kukuza mambo jaman
    Reply
    Replies
    1. umeona ee hakuna aliyemtuma ni chuki zake tu kwa wema kwani sintha unalipwa na zari ukimuchukia wema
  11. haya sasa twende kazi
    Reply
  12. Mhhh Hovyooooooooooo! Mfyuuuuuuuuu
    Reply
  13. MaHUGE....hapo chacha. Chibu ana kazi kwelikweli.
    Reply
    Replies
    1. Hiyo picha ya Esma na huyo michirizi ni ya zamani kabla michirizi hajapigwa kibuti na Chibu. Hakuna ma hug wala nini.
    2. Wivu utakuua kwani nani asiyejua hiyo picha yazamani mbona bosslady hajaweka hiyo mpya aliyopiga na WEMA? Nyooo nenda IG ukaone mahug kwenye birthday party, humu ndani inawezekana wengi hampo IG reasons zenu za simu za tochitochi mpaka Sintah aweke picha kama hivyo hapo juu na nyie ndo mnakua Wa smartphone
  14. Wewe pimbi ni mnafiki weka na idadi ya comment za kwa wema ... lione kwanz azari mia 9 wema anachezea eflu pimbi wewe
    Reply
    Replies
    1. we nae hizo comment kwani mnalipia si ni bure? wacha zifike hata milioni.
  15. acheni umbea wanawake!!!
    Reply
    Replies
    1. Sintah ndio inabidi aache umbea kwanza, na sie tutaacha.
    2. ha ha ha ha ha mwezngu nimechekaje mie aache boc wetu sinta umbea,wivu na unafiki thn cye tutaacha pia!!sinta nakupenda bure
  16. ninachokiona hapo zari anatumia nguvu sana kulazimisha uwifi
    Reply
    Replies
    1. We anoy wa 9.46pm hiyo comment yako unaonyesha kabisa ni team michirizi na una chuki na Zari. Zari ametumia nguvu zipi kwa Esma. Kwa taarifa yako Zari ni mke halali wa Diamond kama ulikuwa hujui habari ndio hiyo. Kakojoe ulale kahaba we.
    2. kweli kabisa mdau kama wewe ulivyotumia nguvu kukomenti hapo juu.
  17. Sizani km ni vibaya kum-wish mtu hbd,kwani kuachana na mwanaume haimaanishi umeachana na ukoo nzima! If she royal to her then let her be....wema is humble and harmless na Ali hora ya it's nice! Na huyo bibiee 'mpya' kufanya hivyo not bad coz ndo wifi yake according to yeye....though km anatumia nguvu kubwa kujisongeza ilihali sijawahi on a huyo wifi yake akionesha kumfurahia sn km alivyokuwa na wema!all in all hakuna mbaya let's them enjoy their life!! I love both of them...though wema is so genuine! My opinion don't take it person..
    Reply
    Replies
    1. Sio Royal ni LOYAL-msambinungwa weee
    2. ha ha haaa. We anoy wa 12.15AM umenichekeshaje eti msambinungwa. Msambinungwa anajifanya anamjua sana Esma na Zari kuliko wanavyojijua. Eti Esma hamfurahii Zari. Msambinungwa utakonda kwa roho yako mbaya na wivu.com. Kwani ulishawaona Zari na Esma wakiwa pamoja hawafurahiani. Eti michirizi walikuwa wanafurahiana. Michirizi ndio hivyo katupwa kwenye dustbin. Kama unawashwa papuchi tafuta wa kukukuna bazazi we.
    3. Sioni Zari akitumia nguvu kokote kwani esma ndio wifi wa kwanza kuwa nae ktk maisha yake? Wema na esma wanafahamiana toka kitambo , zari ndio wanaanza kujuana kwa hiyo ni ngumu kumzoea mtu haraka hivyo.Kumbuka personality ya wema na zari ni tofauti, so give esma time ataamua mwenyewe na mwisho wa siku ni diamond na zari hata esma akimchukia.Diamond mwenyewe yupoyupo tu, labda ubaba utamkuza akili sasa hivi
    4. Jamani hebu niambie maana ya hilo neno msambinungwa umeniacha faya kigodo
  18. Huyo mama anatafuta kiki tu hana jipya eti anamwita Esma shemeji mfyuuuu akalee watoto kule kiki zimetosha
    Reply
    Replies
    1. Kiki ameshapata kwa kuolewa na Diamond kazi kwako wewe ndungayembe unaemaliza waume za watu.
  19. zari is trying to hard, there is nothing boss about her anymore.
    Reply
    Replies
    1. So whaaaaat.
    2. she is in love she will do anything to make her man happy so the same thing for diamond!!!!
  20. imekaa poa tu zari anatoa salamu kwa wifi yake na.wema anatoa salamu kwa mkwe wake nini shida? wema kuachana na.domo haina maana asiongee na familia ya daimond
    Reply
  21. Acha uchonganishi wewe mwanamke!! Is it a big deal??????????????
    Reply
  22. Haina shida. Wema hawezi kuvunja urafiki na Esma kisa Diamond na isitoshe Esma ni mke wa Petit Ambaye ana relate na Wema na Zari kamuwish Esma bkoz for the tym being Zari ndo wifi. So nooo problem at ol
    Reply
  23. Jaman ka esma ni kazuri hd raha..huchoki kukaangalia..hata wema haoni ndani hapo
    Reply
  24. Hapa Hamna cha team matende meno kutoka nje wala team michirizi miguu ya milonjo, on my side even the picture can tell kwamba Wema na Esma they used to be close very close akati Dai anauhusiano na Wema, unlike Zari amekuja TZ Mara ya pili sijui ya tatu tangu walivyoanza uhusiano na Dai but hawajawah kupiga hata picha moja akati akina Le mujingaz na Sintah akija Le bosslady ni mapicha tuu anamwacha wifi yake ambaye anatakiwa wawe somehow close, me kati ya wifi na mama mkwe nachagua kua mama mkwe coz uwifi unakwishaga lakini mama mkwe no hauishi, so its a challenge to Zari aanze kumpet pet wifi, ndo maoni yangu kama wewe unayako pia utoe, matusi mwisho hukoo IG kwa Sintah unatoa maoni na facts tuu
    Reply
    Replies
    1. Kabintispesho mwenzio nimeishi uganda na waganda kwa miaka kumi na ninaweza kukwambia hakuna wanawake selfish kama hao.Wakiwa wanataka kitu kutoka kwako watakunyeyekea wakishapata hata asante hupati wanasepa.Tabia zetu za kiswahili zinaweza kuwa challenge kwa mtoto wa kiganda, yeye anaangalia huyo bwana hadi siku wakiachana na as longer as wifi hawezi mpa anachohitaji wala hajali.Mwanaume wa kiganda anaweza mlala mdogo wako na wala asione big deal, na mwanamke anaweza kumaliza wiki asikuulize kama kwenu wazima so simshangai Zari.
  25. Zari keshafulia sioni jipya ,mzuri mzuri hanyi? aaah tupa kuleee.
    Reply
    Replies
    1. hata mimi nashangaa watu wanasifia mpk wakufuru kwani anakunya amesimama he kama ni mi,mimba so ya kwanza anamitoto kibao watu wamezidi kumpa sifa
    2. mzuri angepata mwanaume wa maana shoga uzuri usio na faida unatembea unaokoteza wanaume mpk leo 40+ ndoa haijui wazuri wamewekwa ndani na hata akiolewa na huyo Diamond ni ndoa ya mkeka ushuzi tupu tupa kuleee
    3. mmeona eeh yaan kula tano wadau 10:26 na 12:14,nisubirieni hapohapo nawaletea cocacola ya majina yenu.hata mie nashangaa kwani huyu zari yeye nani?kwanza ovyo sio hata role model kwa wanae mama gani haonyeshi mfano bora kwa wanae,kutwa kuendekeza mambo ya kijinga
    4. Wewe ndo umefulia. Zari anaweka kukuajiri ukawa housegirl wake paka mapepe we.
    5. Zari mzuri huwezi kumlinganisha na wewe mwenye sura kama baboon. Kwendreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni kunguru weusi nyie.
    6. We nawe utafikiri ushawahi kumuona na kujifananisha nae, weka picha yako hapa tuwapambanishe tuone nani kati yenu kafulia.
    7. WIVU,COM
  26. Cion ajabu wema amemuwish coz ni mkwe wake kwa toto pettyman wakuache.na zarin coz ya chibu mbon hakun jipya achen udak....
    Reply
  27. mmmh jamanii sasa hii ni balaaa,yaan huyu aliyekutumia hizi post hana akili kabisaaa,hapo kipi cha sie tudadavue huku?mbona ni kitu cha kawaida sana na lazima kingetokea tuu,kuna ubaya gani zari kumuwish wifi yake,au wema kumuwish mkwe wake?sasa hizo team zinashindana nini?jamanii baadhi ya watanzania sometimes ni shedarrrrrr,Team team kweli Team upupu wenzenu wanafanya maendeleo wewe upo busy kushabikia upupu na ujinga,Tunaitaji maombi kwakweli
    Reply
  28. KWELI NIMEAMINI WATANZANIA HATUNA KAZI YA KUFANYA. SASA EDI WADAU WADADAVUE WHATS SO SPECIAL FOR PEOPLE TO DISSCUSS. ETI WATU WAJADILI MTU AMEKUWA WISHED HAPPY BIRTHDAY. ARE YOU LOOKING FOR THE ONE WHO HAD A RIGTH TO WISH? MAKUBWA! KWELI SINTAH UNA KAZI TENA KUBWA. NAJUA HAPA UNATAKA WATU WASEME WEMA HAKUTAKIWA KUWISH AS AMEACHIKA AU WATU WASEME ANAJIPENDEKEZA NK. PICHA NYINGINE NINAYOITAKA NI KUTAKA KUMUWEKA HUYU ZARI KWENYE VINYWA VYA WATANZANIA KILA SIKU. BELIEVE ME OR NOT SHE WANT TAKE OVER THIS COUNTRY. SHE WONT EVEN BE POPULAR AS WEMA HATA ATOE VIDEO ZA UTUPU. OTHERWISE THEY ALL HAD RIGHT TO WISH IF THEY CARE FOR ESMA. hUU NI UJUMBE WAKO WEWE SINTA HATA USIUWEKE PUBLIC
    Reply
    Replies
    1. anonymous at 11:18pm umeona ehe yan umenifuraisha sana na point yako umemaliza kila kitu
    2. anonymous she wont ever hawezi kufikia umaarufu wa Wema hata atembee na chupi kichwani. Bibi mtu mzima kujipachika utoto wa kuonyesha uchafu kwenye mitandao kwani yeye ndiyo mwanamke wa kwanza kuwa na huyo Diamond khaaaaa inanonekana alikuwa ana admire maisha ya Wema na Chibu alikuwa anatafuta nafasi kama hiyo alikuwa haipati sasa alipoona kuna conflict akajitongozesha ili achukue nafasi ya Wema anajisumbua tu huyu bibi gaga Wema will always be Wema no matter what ni chaguo la wengi atake asitake umaarufu ushuzi akautafute kwao Uganda lakini hapa nope. Eti mzuri khaa wazuri wanapata wanaume wa maana siyo watandale bibi upo
    3. Tanzanians like adoring nonsense.
    4. Anoy wa 1.25AM wewe ni team upupu tu una akili pumba kama huyo wema wenu. Ma wivu yamewajaa kwani cha ajabu kipi mtu kujionyesha mtandaoni. Mbona akina Madonna wanajionyesha mtandaoni sembuse Zari. Roho zimewakauka kama wakaanga sumu. Mnalo hilo. Zari na Daimone are Forever Mr. & Mrs. D billion. ha ha haaaa. Mwaka wenu huu mtaanza kuharisha kabla ya wakati. Shwain.
    5. UMAARUFU GANI WA WEMA ANAENDA LALA NA MABABU APATE PESA, AKILI HAZITUMIII ANGETENGENEZA PESA KWA KUWA U MISS FULL STOP. UZURI WA KUTOA NYOKA PANGONI HANA TIP TO TOE.

      SASA MA KU SHOW KWA CLUBS KOTEEEE HAKUFANIKIWA MAANA HAKUNA MEDIA AU BLOG ILIRUSHA PICHA ZAKE, AKAE NA NYOTA YAKE SASA DAI KAONDOKA KWA KUACHWA.

      MTOTO WA TANDALE JUUUUUUUUUUU

      CHEZEA BARAKA ZA MUNGU UKIONE.

      PETIT MAN HUYO KIBARAKA ATA MOVE ON ONE DAY AKIMALIZA KUCHOTA PESA VIA WEMA. AKILI KUMKICHWA ANANYONYWA AKILI NA MBURULAZ NOW ILA ANAPATA PESA.

      AACHE KUSHINDANA NA MRD D BILLION, AKAE KIMYA NA BABU YAKE, MKWE ANAJIZESHA SHUTI KULA RAHA BROOM ONLY NO PHOTOS.
    6. UKWELI NA UHAKIKAFebruary 3, 2015 at 7:29 AM
      HA HA HAAAA!!!! MDAU WA 4.38AM AGIZIA COCACOLA BARIIIDI KWA JINA LAKO NITALIPA. HUYO WEMA HAO WAKINA PETIT MAN, MARTIN KADINDA WANAPATA PESA KWA KUTUMIA UMAARUFU WAKE. YEYE YUPO BUZY KUSHINDANA NA D BILLION. UTAMWEZA WAPI NA TANGU AWE NA ZARI NYOTA IMEZIDI KUNG'AA.WEMA ASUBIRI TU WAZEE WAKISHASTAAFU WAJE KUPUMZIKA KWAKE. AHONGWE PESA PENSION YA KUSTAAFU. .
  29. Heheeeeee nionavyo mimi wangapi humu waumezao nishida fulu kuchepuka ndoa inapumulia oxygen?ni wangapi humu hawapendwi nawifi zao wala mashemeji wala mama Wakwe?niwangapi humu hela Hawana fulu mawazo anawaza adange nanani apate hela yakula?wangapi humu mmezaa watoto mnalea wenyewe full majukum?wangapi humu mambo hayaendi kilakukicha ni afadhali ya jana?nivizuri ukajali yako kuliko kuumia namaisha yamtu ambae hakujui nahatakaa akujue nambilimbi,pilipili kichaa,vinegar,maembe kwa kwa,mabungo na malimao yakutosha
    Reply
    Replies
    1. Yaani wewe umeongea kweli , baada ya kuangalia yetu tunajali ya watu tusiowajua.Mie sina bwana wala bf lakini nina mawazo sina pesa ya kumalizia finishing kwenye nyumba yangu mambo yamekwama kidogo.Mie natafuta comment ya kunichekesha nipunguze mawazo lakini inaonekana humu watu wamejaa wivu tu na hasira.
    2. anoni kweli kabisa me mwenyewe sina bwana wa kueleweka na mawazuu ya jinsi kuongezea mtaji ka bisashara kangu, aya mambo ya kina zari hata cyawez wala hayanihusu.
    3. anoni umejaribu kuchukua mkopo sehemu uongezee mtaji halafu ulipe taratibu? Mie naogopa kuchukua mkopo sababu nyumba yenyewe nimejenga kwa mshahara wangu na nimebakisha kuweka mabafu, vyoo na jiko pamoja na kupaka rangi.Naona kama nimeweza kula ngombe mzima kwa nini nisimalizie mkia kama nilivyoanza ikiisha nile bata baada ya kulipa madeni.Siko poa sasa hivi mdau tungesaidiana kupitia Sintah.Sintah na wewe uwekege topic kama hizi za kutafuta pesa zio zarimond weeee kha!!
  30. Chuki binafsi za sinta kwa wema...Sioo team yoyote ila sinta Anapenda kuona wema anasemwa vibaya..sinta mbona ulikuwaga mzuri na ulijulikana pindi cha nature..sasa kwanini kama hupendi n'a wenzio wawe .. Una huji kitu Over wema kinakuuma. Hadi bday wishes kinakuuma ulitaka esma awe adui Wa wema..loh.
    Reply
  31. sinta na ww bwana ebu punguza chuki mda mwingine kidogo yani wema amekukaa rohoni jmn cyo vizuri hvyo na ww una mtoto wa kike kumbuka ni mzazi pia
    Reply
  32. Hakuna jipya hapo, nimefurah kumwona wema kwenye bday ya esma, mengn tuwaachie wenyw
    Reply
  33. sasa kip cha kudadavua hapo watu wanataka umbea tu kwanza uyo ni sintah mwenyewe anajifanya katumiwa email esma anauhusiano na hao wote zari na wema so hakuna ubaya wote wakimuwish
    Reply
  34. Ila team mavi michirizi MNA akili mgando alafu mnajiliwaza kwa vitu ambavyo avipo yani no kama MTU ulale uote umeokota mabilioni sasa zari anatumia nguvu kiaje ebu mtufafanulie maana kama chibu anamrusha PC kila cku na jmoc akawawekea na kanyimbo y zari asijibebishe alooo mtakoma mwaka uu wenzenu na ndoa wamefunga nyie made be matupu endeleeni kupiga makelele by da way mochirizi ndio anatumia nguvu nyingi apumzike atapata bp ya bure kwa kupenda CFA nano asiyemjua kwa sofa za kijinga
    Reply
    Replies
    1. Akili mgando mwenyewe nyau weee! Nani akome? Kipi hasa cha kukomesha mtu hapo? Kwani ndoa ngapi zinafungwa kila siku? Khaaaa! Kuna midada mijinga! Badala ya kuhangaika na maisha yao yamebaki Zari Zari Zari utadhani anawalisha ukoo wao mzima.
    2. kwani zari ni wakwanza kuwekwa na dangote insta au pc,ndio zake kuweka mademu zake wote hilo ni kawaida,na pia alivalishwa pete wema hadharani sembuse huyo zari?unadhani chibu ni mjinga kwenda muoa mwanamke anawatoto wakubwa 3 tayari,chezea wanaume wa kitanzania wewe,nadhani huwajui vizuri,dai kuwa na zari anamaana ake shida ake ikiisha mtajua tuu
    3. Anoy 11.54PM umeongea ukweli kabisa. Team michirizi wote akili zao mgando kama boss wao michirizi. Wanatumia nguvu nyingi kujidai hawajaumia kumbe wameumia na hasa huyo michirizi. Kubalini tu matokeo Zari ni wifi yetu daima milele tena ni mke halali na tunategemea kupata kabebi ketu so soon. Michirizi apumzike tu na hao vibabu kwa kuwa yeye ni PUMZIKO LA WASTAAFU.
  35. Kila mmoja kamuwish kwa cheo alichonacho so nothing specia ya kudadavua. Anayetaka kudadavua ni mmbea ambaye hobby yake watu kutukanana. Esma yuko na Dai hivyo ni wifi na Wema ni mummy yake mume wa Esma so ni mkwe!! Ila nampenda sana Wema. Roho yake truly unique, akishakuweka moyoni mwake ndio umeshakaa ana urafiki wa kweli na mapenzi ya dhati. Ingekuwa mwingine kaachana na kaka basi hasira zote anamalizia kwa wifi japo kaolewa a ndugu yake. Angetaka na yeye aachwe na huyo ndugu. Funzo kubwa sana hili kuwa hata mkiachana maisha yanaendelea na wote waliokuwa karibu sio tena maadui kama wengi tunavyofanya
    Reply
  36. Happy birthday Esma muke ya Petitman, toto ya Madame Wema
    Reply
  37. Zari wala hana habari na maneno maneno yenu ya kiswahili
    Reply
    Replies
    1. Yaani Zari hata muda hana wala hajui kama teama michirizi ina exist. Mnajichosha bure tafuteni kazi za kufanya mtengeneze mtonyo Majungu ni nyumba ya njaa.
    2. NYOOOO ETI ZARI HANA MUDA NA WEMA HAHAHAHA CHEKO LANGU MIEEEE SO ALIVYOENDA KULIKE BILA KIJUA PICHA YAWEMA ALIKUA TAYARI KASHAPATA MUDA?? HAHAHHAAAA poyeeeeeee
    3. WE NAWE MBONA NA WEMA ALI LIKE PICHA YA ZARI..LAZMA AUMIE SANA NI KAWAIDA KWAKUWA BADO ANAMPENDA DIAMOND NA ANATAMANI AMRUDIE ILA SIJUI KAMA ITAWEZAKANA KWAKUWA ZARI SIO PENNY AU KIDOTI
  38. mbona penny alivyoachana na chibu haukushanga na haukutuletea habari kua anapatana na halima kimwana tujadil. zari anakulipa nn au. tutolee uswahili hapa
    Reply
  39. SINTAH MI NAIPENDA MIGUU YAKO NILIKUONA USTAWI PALE SIJUI ULIKUWA UMEENDA KUJISOMEA AU KUFUATA UMBEA MAANA WE NAE LOH, AYA NENDENI MKAMPIKIE HAWARA HUKO NA DINI MNAZOCHEZEA KAMA MPIRA, ATA USIPOIWEKA UMEIOSOMA
    Reply
    Replies
    1. hahahhahaah et cjui ulienda kujisomea cjui kutafuta umbeaa umenchekesha
  40. hivi hizi jumbe wema na zari huwa wanazisoma?maana kutwa kutukanwa yule mara yule tunapata faida gani am sure kesho shotii ataweka ambyo chibu anasifia kitumbo cha bibi mzuri kileeeee kinaanza kumharibia mtu mavazi sasa hicho kichwa cha habari atakipamba mpk basi
    Reply
    Replies
    1. Lazima akipambe hicho kichwa cha habari. Sintah kesho tuwekee hicho kichwa cha habari cha Diamond kuhusu mimba ya Zari. Kuzaa mchezo mbona hao waliotangulia hawakuzaa au vizazi vimelegea.
    2. HEHEHEEEE ATAZAA NA WATU WENYE AKILI ZAO TIMAMU BABUEEE DAI NAYE MUMEE AU TOYBOY? NYUMBA YENYEWE YAKUPANGA AIII SHOBOSHOBO ZA KUBANANA NA MAMA MKWE NANI ANATAKA? MWACHE ZARI AZAE YEYE SI NDO MAMA HURUMA ZAA ZAA OVYO,KUZAA WENGINE HAWAJATAKA KUINGIA LABOUR
  41. Nimefuraishwa na comment za humu ndani leo hapo hakuna jipya wote wana Haki ya kumuwishi ulitaka wema achambwe umeumbuka wema na petit ni Mtu na mwanae tena wanafanya kazi pamoja ulitaka wema asimuwish birthday mke wa petit ' huna lolote upambe tu ' na kwanza Zari anatumia nguvu nyingi sana ' aache uswahili wa kishenzi ' hakuna Mtu ana mzuri akiwa na dai yeye aendelee tu na hata wakioana ni poa ' wema anafanya yake
    Reply
    Replies
    1. PETIT MFANYAKAZI ANAYEWEKA AKILI ZAKE PALE, WEMA NO AKILI YA BIASHARA.

      PETIT MAN AKIJIUZULU WEMA KISHNEI

      HIYO NI FACT, NDIO AJIGONGE KWA KUJIBU KIMASHINDANO...ZAIDI NDIO NINI?

      ANA DAMU NAO WOTE HAO

      MFTYUUUUUUUUU KUJITAFUTIA JIA, JUZI BILLS KAZOMEWA. ATULIE NA MABABU MWENYE PESA WAKE.
  42. Salale! Kuna watu wasabasi duniani. Wawili wote wame mu wish. Ulitaka tudadavue kipi? Kipi cha ajabu. Hebu acha umbea mtu mzima. Andika vitu vya maana tudadavue hapo umetoka kapa.
    Reply
  43. Oot,hv wanaoingiaga mtaa wa pili n wamelipa dola 60,au mnaingiaje ?
    Reply
  44. Sasa hizi siiiiifa in Mcharo voice, Huyu CEO wetu kwa ushabiki maandazi anaongoza ila ndio wetu tutamfanyaje? Ila leo kapata makavu live mana kaambiwa huku mkwe n huku wifi hamna kudadavua wala kudadavaa
    Reply
    Replies
    1. Sintah akiwa hana topic ndio zake hizo ushabiki maandazi
  45. Bimdo na Mwamvita wameweka kichekesho Insta wanasema wanalala huku wanacheka maana wako single hawawazi mtu yoyote kuwacheat. Hivi wana maana gani? wanampitia mwafulani nini kijanja??? lol
    Reply
    Replies
    1. Si uende ukawaulize wanamaanisha nini?
    2. Mwamvita naye si kicheche tu wala hana jipya full kujishaua tu
    3. Hicho kitakuwa kijembe cha mwafulani.
    4. Nawamenifurahisha kina bimdo watu na akili zao timamu huhuhuuuuu mirembe kuleeee dawa hazitoshi.point 5umesema kweli kabisa tujali yetu yawatu hayatuhusu naongeza nachuki hazisaidii,sasa km zari Mhh hajali minani mpk niseme Au ww nani utomboke kwa Maisha na penzi lake,halikwako walahakufahamu nahatumfikii kimaisha,midomo ingekuwa ukichongoa unapatahela mnekuwa matajiri Ila kwavile mungu anaangali moyo mtasubirisana fulu kusanda nahasira juu wenzenu walee Maisha yanawanyookea nawanacheka nakuenjoy km kawa km jana haloooo
    5. Mwamvita kicheche kakutombea mmeo?
    6. babaangu next
  46. Bimdo na Mwammy wameweka kichekesho Insta wanasema wanalala huku wanacheka maana wako single hawawazi mtu yoyote kuwacheat :crying-with-laughter:
    Reply
  47. tuwekeeni picha za diva Davito yule diva anaye fi**na na G model. tuna mengi ya kumwambia
    Reply
    Replies
    1. G Mode anavilambisha vijinga sana, huyo Davito si choko tu anachokonolewa tu na kila choko. G Modo mbona anamtumia mda mrefu kwani kaanza leo. si huo usenge ndo mwanzo wa yeye kubwagana na wolper. huyo davito naye si kawekwa apa mjini na mkaka mmoja bosi wa voda. G modo ananyatia tu. uyo kaka naye bwege tu. angejua anayo fanya davito apa mjini wala asingetamani hata kumsalimia wala kumkaribia. ni aibu sana angejua mambo ya davito hata kumpa mkono asingesubutu ni mwingi wa habari sana na anatumika kuliko maelezo. G modo naye si choko undercover kwani nani asiye jua ilo. davito kapewa hadi kazi lakini bado uchoko upo pale pale. alooooooo alooooooo!
    2. huyo davto ana du hata na mbwa koko ni choko mkongwe. ma boda boda na ma bajaji wanafaidi sana. ukimwi utamrudisha songea kwao.
  48. Wema kawajaa midomoni kama mavi yenu. huyo ndiye super star hana mda na nyie yeye anafanya yake. semeni sana mtamuona anafanya yake tu kwa raha zake.
    Reply
  49. hahahaa leo mmempatiaje andunje? nimewapenda uso mdg km mbuzi wa hitima. mmfyuu kalee watt
    huko nature ndo kiboko yako bibi bomba wee.
    Reply
    Replies
    1. Na uzuri wa Sintah anaweka comments zote zinazomsifu na kumchamba hakuna kujifanya yeye malaika kutwa asifiwe tu.Sipendi watu wanaojiona wako perfect na kuwaona wengine hawafai.Hivi ndio poa hata ulivyomuita bibi bomba hata hajali ye kairusha hivyohivyo, Sintah we chizi!!
  50. Hivi sintah should unafanya nini!?.. Mbona mambo unayofanya tofauti na elimu yako!?
    Reply
  51. huyo zari wako nunga embe angekuwa mzuri angeolewa hata kabla ya kutotoa midume mitatu na ndoa hakuna anagundu huyo domo jiokotee mzoga wa UN
    Reply
    Replies
    1. Waliokuwa kwenye ndoa haoooo wanatoka, wewe ndoa umeona dili hayo mawazo yashapitwa na wakati shosti unaishi dunia gani.Sasa hivi ni women power sio kungangania ndoa ili mradi uonekane umeolewa na ndoa yenyewe full mateso mwanaume kitombi. Angalia tu usije ukawa na mtoto wa kike akaja itwa mzoga wa UN one day, usimcheke mamba kabla hujavuka mto!!
  52. we ni noma unapenda wema asemwe ovyo imekula kwako na keki wamelishana jana mxiuuuuu
    Reply
  53. Jamani nimechoka na story za Zari wakae walee mimba,asishindane na binti yetu hajawahi hata kusikikia kichefuchefu cha mbimba LOL, Zari unarudi lini kuwatizama watoto maana saivi anatamani asingekua na watoto poyee king is watching Diamond nae ptuuuu!
    Reply
    Replies
    1. Tatizo akileta story zingine hamjishughulishi ndio maana anawaletea hizi za zarimond.
    2. Wengine tulitamani hata hicho kichefuchefu cha mimba lakini Mungu hakupanga kwa hiyo wenye vizazi vyao acha wazae tu. Mie kila nikiwaza kizazi kimetolewa na mtoto sina, na wengine hao wanashika mimba kirahisi na afya zao nzuri namuachia Mungu yeye anajua sababu.
    3. jamani anoni pole my dear...usijali Mungu yu pamoja nasi, kuna watu wamezaa lkn watoto wamekua mwiba kwao wengine mashoga,mapanya road ili mradi kashda...yatupasa kushukuru Mungu kwa kila jambo.
    4. Ni kweli namshukuru Mungu sijui ameniepusha na nini tatizo linakuja tu pale ninavyochekwa na kusimangwa na hao wenye watoto utasikia mtu ananiambia hujui uzazi wewe ndio maana unalalamika kwa nini sijibu message zako!!! yaani hata kidonda changu cha operation bado hakijapona lakini masimango yashaanza.Yaani nilikuwa nayasikia haya mambo wanawake wakitengwa kwa sababu ya ugumba sasa yamenikuta inabidi niyakabili nitafanyaje?
  54. Ila we Sintah ukizeeka utakua kichaa maana ushafikia stage ya uchawi ukiwa kijana, asa hapo tudadavue nn?? Yaan tusemeje unataka?? Eti nimetumia ulivyo mpashkuna usubiri kutumiwa?? Maana naona kila muda ulikua una refresh IG uone nani kaandika nn, na ww ndo unachangia huyu BAE wako atukanwe
    Reply
    Replies
    1. Na Mungu atujaalie maisha marefu tuone anavyokuwa kichaa.Mmh! ee mola nisamehe nisije nikawa mimi kichaa kabla yake maana si vizuri kumuombea mwenzio mabaya.
    2. WEYE HAUONI HAPO ZARI KAANDIKA ANAMPENDA

      EX KAANDIKA TUNAKUPENDA ZAIDI/

      AENDE AKAPUMZIKE NA BABU YAKE, SI ALIMWACHA CHIBU NINI KUJISHAUA KUTWA KUTAKA KUJUA YA CHIBU VIA MFANYAKAZI WAKE NA MKEWE.

      BORA ASINGEANDIKA HIYO KUPENDA ZAIDI KWA MSISITIZO UTAZANI ALIZALIWA NA ESMA AU PETIT NDUGU YAKE

      HAPO WEMA KACHAMKA HASWA...WIVU MBAYA

      SIJUI KWANINI HUWA HAWEZI KU MOVE ON NA MAISHA YAKE NOW HASWA NA MABABU WENYE PESA NA KUMPA NYOTA...LOL ATULIE KIMYA KIMYA SIO KUJIFANYA ANAJUA NA TIMU ZAKE ANAZOWALIPA.
    3. HAWEZI KUMOVE ON MABABU WENYE PESA HAWAOI NI WA KUMHONGA TU...ILA INAHITAJI MOYO KUOA MSICHANA KAMA WEMA UNAHITAJI MOYO WA SIMBA KWAKWELI MANAKE UNAWEZA JIKUTA UNASHARE NA WAKUBWA NA USIJUE...MMH PUMZIKO LA WASTAAFU NI SHIDA!!!
  55. ZARI HAWAZI FUTURE YULE AJUI MIAKA MITANO IJAYO ATAKUWA NANI.KALA UJANA UKO ANATAKA KUZEEKEA MIKONONI MNWA CHIBU MFYUUUU SINTAH CHUKIIII TO ZITAKUUA I SWEAR LABDA ZARI NA DIMOND WAISHI UNTIL DEATH ILA WAKIACHANA HEEEEE SINTAH NAKUAIDI UTASHEA MAUMIVU NA ZARI KWA UO UMBEA WAKO NA CHUKI ZAKO KWA WEMA DAAAA SINTAH UNACHUKI BINAFSI KWA WEMA WEWE LOOOOOOOO .
    Reply
    Replies
    1. KUACHANA NI JAMBO LA KAWAIDA ATA WAKIWA PAMOJA FOR FEW GOOD YEARS INATOSHA WEWE SIO MUNGU KUTOA HUKUMU NA KUJUA MIPANGO YAO!!! WIVU TU UNAKUSUMBUA
    2. ata kama sio mungu mfyuuuu jimama zima zima kutembea na mdogo wake tena bora angekuwa na true love no anataka umaarufu na kupunguza stress za rich gang uwiii zari akili hana atakuja lia kichwa chini miguu juuu hehehehehe am weiting siku wakiachana zari na mond sintah utajutraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    3. TUSUBIRI TUYAONE LENYE MWANZO HALIKOSI KUWA NA MWISHO HAMNA MTU AMBAYE HATAKI KUPENDWA NADHANI ALIUMIA SANA EX WAKE ALIVYOTOKA NA YULE MSHINDANI WA BIG BROTHER SHARON O MPK AKAMNUNULIA GARI NA KUANZA KUMWITA MY WIFE IN PUBLIC NA HUJUI FAMILIA YA EX WAKE LABDA ILIMKATAA KWA SABB YA DINI YAKE INGAWA AMEZAA NA HUYO MWANAUME..MIE NAMUONA NI DADA ANAYETAFUTA KUPENDWA NA PIA ANAPENDA SPOTLIGHT KUTOKANA NA STATUS YAKE KAMA DIAMOND ANAWAEZA KUMMPA VYOTE HIVYO WHY NOT????
  56. SINTAH HEBU WEKA MAPICHA YA BIRTHDAY YA ESMA NA WATU WALIOKUWEPO KUNA WATU HUMU HAWAPO IG SO WANASHANGAASHANGAA TUUU,
    ILA NAJUA HUWEZ KUZIWEKA COZ WEWE SI HATER TUUU, ILA WEMA ALIPENDEZA SANA, Wapi wifiiiii no mualikooo hahhahaaa
    Reply
  57. Yaani kiukweli nashindwa kuelewa umri wa zari anatafuta nini kwa huyu kijana jamani? siyo bure huyu mama analake jambo, loh hata mshipa wa aibu hana jamani, anatutia aibu wakina mama wenzie. Umri ule siyo wa kuringishia mapenzi na mtoto anayeweza hata kumzaa. Bibi weeeee tumekuchoka, hebu kalee familia yako bwana, nyege gani hizo lakini? khaaaaa
    Reply
    Replies
    1. Anoy wa 4.02 AM Inakuhusu nini. Umri wa Zari kwani ukoje. Miaka 34 unataka kujilinganisha na wewe mwenye miaka 55. Kwendraaaa kalee vijukuu paka shume we. ZARIMOND ndio habari ya mjini. Muke halali wa DAI kama kimekuuma chukua kamba jinyonge. Kahaba mstaafu wa Ohio street.
    2. utaishia kujibu comments mwenyewe andunje mke halali meno yamemtoka smile zote ndomo ina kufuli hahahahahah
  58. Sintah sintah tumechoka yani unaonyesha Ni jinsi gani huyo zari wako asivyoweza kuwa na kiki bila ya kumuweka wema ,.mbona akiwa anakula bats na wototo na Baba yao hutuwekei au unafanya masifa kwa kutuma picha zake akiwa tz ili wema atukanwe.acha roho mbaya mwanamke utaishia kushadadia ya watu ila jua wema anasonga mbele na maisha yake.hivi huyo diamond Ni mwaname gani wa kujivunia Labda kila akifanyacho Ni kina anaonyesha watu wamuone kama anaweza kupata mdichana mzuri wezanke wanaangalia Tania Yeye anaangalia uzuri wa sura ili kuonyesha afrika kuwa anademu mzuri matokeo yake abate-bea na huyo zari mwenye watoto wadogo.kama ulikuwa unadhani unamkomesha wema basi imekula kwenu maana cku zoote unashadadia wema akiwa ameachana na dai wewe kites kupost pichaza daina mademu wake waoya hivi jioni kama wema amewashinda wote kutwa mishinda.a Naye.mnaomtukana wote wema Hamna akili Ni chuki na wivu tu .wema amewazidi ndo maana kutwa kumtukana na aliyewambia wema anashida na diamond?acheni ujinga Nyie mnaoshinda mtaanai kazi xa maana ham.a bado mnatukana watu.ebu pelekeni upuuziwenu wa zari anajua kuzaa kulea hahui anatia aibu familja yake eti anataka usupa sta ussijifanye Kim Kim mama utaishia kuwapa Kuna watoti wa miaka kumi Kisa umarufu.
    Reply
    Replies
    1. Mwe yani anoni 4:10 polee wivu na joto hasiraaaaa!! Hivi huwa mnapitaga blog zingine au hapa hapa kwa sintah ..mbona udaku spesho huwa wanamuweka zari kila siku vp kwani nao hawampendi wema au ujinga umewajaa kichwani!!!
  59. www.facebook.com/shytasha huyu ndo mrembo bana wengine sijaona !!!!!!!!!!!!!!!
    Reply
  60. Sinta hajawahi kuwa wish watoto wake wabox au hawakui kama mama yao? nauliza tuu jameniiiiii.
    Reply
  61. https://www.facebook.com/shytasha huyu dada nimempenda ni zaidi ya lulu zaidi ya wema ila mimi nataka faili la huyu demu mwenye file OOT inahusika naombeni tafadhali
    Reply
    Replies
    1. mdau hata mimi huwa namuangalia huyu demu kusema kweli ni mcute sanaaaaa basi tu wapi team gadem lemutuz baharia kamuona huyu demu ??? sintah umemuona huyu demu ptuuu ni mzuri aise...
  62. leo Sinta anajibu comment moja moja kama Anony, kashushuka alifikiri watu watamtukana Wema. wengi wa tz tunampenda Wema hata iweje we love Wemaaaaa.
    Reply
  63. Mbongo hata awe msomi haachi udaku. shule zingine bwana
    Reply
  64. Huyo zari angekuwa akili kichwanu angetulia alee watito na Sio kujifanya mtoto Ndogo atakama ameza alafu anamwili huo wangapi wamezaa na bado wanavutia ebu pelekeni chuki zenu huko na mashauzu ya kujinga janamke likubwa lakini linatiwa na Ndogo wake alafu eti mnasema mapenzjmapenzi gani hayo ya kipumbavu utadhani anamiaka kumi na tisa Kumbe Humana kina watoto alitaki kuwajibika kama mama alafu sintah upo unamahadadia Kisa wema humor.Di pole mama. shadadua rafiki yako achezeweovyo na huyo diamond angekuwa anapenda kweli angetulia na hao wakina penny mbona alishindwa au huyo mwe.ge kupewa hela .a Ivan alafu anKuja Kula bata na dai unasema Ni mwanamke hivalafu mnamfananisha na akina madoma hao walikuwa wanaliwa walipokuwa wana Piga picha za wagusasa Hugo mwnzetu smiles na na.I Labda yani watu wanatafuta wanaume wenye akk Yeye anatafuta wanaume wasiokuwa na aki kichwani sifa tu za linings ndo zimetawalaa acha diamond amtumie kumlala kqa kwa kumuumiza wema a wemando hana hata habari nao
    Reply
    Replies
    1. Anoni 4:35 rudi shule au smartphone inakushinda kutumia mwee mi nahisi hata ukijisoma ulivyoandika unajicheka mwenyewe!!!!! Halafu kitu kingine kwani wewe huwa unatembeaga blogs kama udaku spesho, au mtaa wa pili kwa mama mzungu, au hata jamii forum mana naona sintah akimuweka zari kosa eti anamchukia wema!! Hv mnamatatizo gani nyie???
    2. We nagazet lako ndio unachuki mapovu yamekutoka km kibogoyo kwendraa.mchawi mkubwa unafata nini huku
  65. kuna kitu nimegundua kwenye hii topic ya leo,ninahisi madongo na matusi yanayotolewa na team zari sio team zari nahisi ni wewe sintah,because nimekuwa nikiingia humu tangu asubuhi na mchana kulikuwa hamna kutusi kwa watu waliokuwa wanamtetea wema au ambao waliokuwa hawampingi wema,hapo inaonyesha sintah alikuwa busy na kazi hana muda wa kucomment comment nyingi,now jioni ndio comment za kuwatukana team wema ndio nyingi inamaana hao team zari jioni hii ndio wanaona post hii au wameambizana wote waingie jioni hii?,alafu matusi yao yanalinganalingana ikiashiria ni mtu mmoja au wawili wanaojuana ndio wanacomment kama team zari alafu wanatukana kwa jazba utadhani ni zari ndia anaandika au a very close friend to zari,cos kama unaakili timamu uwezi shabikia UHUSIANO WA MAPENZI kiasi hicho maana hauna uhakika kama yatadumu au laah.mimi sio team upande wowote ila according to what i have notice,wema anapendwa kuliko zari na zari hana mashaabiki wengi tanzania kiasi hicho.nawashangaa sana mnavyofurahia mtu kuachana na mtu au mtu kuwa na mtu kweli kabisa unashadadia uhusiano wa mtu huo ni ujinga jamani ebu tuelimikeni basi,tushadadie vitu vinavyosaidia na kukuendeleza wewe na generation yako.hapo utakuta wema au zari wala hawana habaree labda hata wanaongea na hawana ugomvi,ipo siku mtaumbuka jamanii kwa aibu.STOP THIS NONSENSE OF TEAMING UP,ungeni vikundi hata vya kujikomboa kimaendeleo.
    Reply
    Replies
    1. Pole ukitoka hapa tembelea blogs zingine ndo utaelewa kama sintah anamchukia wema au vp mana naona unavyotililika na magazeti yako uloandika pumbaaaaaaaa!!!
    2. wewe ndio walewale wasiojielewa,hapo kuna pumba gani aliyoandika?yaan humu ndani bhana,mtu akisema point ya maana wanamchamba akiongea pumba wanamsifia,kweli akili ni nywele kila mtu anazake....
    3. usituchoshe wewe mtu mfupi kwa nini unajibu comments
  66. Eti biashara inaweza kaaje zaidi ya miezi 6? maana dh mbwembwe nyingi then inakufaaaaaaaa

    watanzania

    mbwembwe biashara na matusi haviendi. busara ndio njia
    Reply
  67. SOMO KWA MADAME WEMA SEPETUNGA

    Wema in my humble view ndie MISS TZ MZURI KULIKO WOTE waliowahi kutokea hapa nchini na mwenye NYOTA KALI YA KUPENDWA.
    HATA HIVYO yeye ndie BONGO LALA KULIKO WOTE. Namsihi sana AACHANE NA NDOMO HUYO SIO WA LEVEL YAKE atafute mkaka wa maana aanze maisha maana muda unaenda ebu angalia umbo lake lilivyokubwa, kwanza nashangaa wanaosema anaendana na Ndomo wkt Ndomo anaonekana ni mdogo wake!
    WAZAZI WA PANDE ZOTE MBILI WAMEULAANI SANA UHUSIANO HUU “WA MOVIE”.HAKUNA BARAKA DUNIANI KAMA YA KUTOKA KWA WAZAZI.
    MPENZI kisa cha kujiaibisha jukwaani na kujiita “WIFE TO BE”??? Ingenoga Ndomo ndie angesema maneno hayo mpenzi.
    WEMA MPENZI kwenye maINSTAGRAM hao wanaojiita TEAM WEMA 90% ni VITOTO VYA FORM 2 havijui maisha. Kwa sisi WADADA WENYE UMRI MKUBWA KIASI na TUNAOKUPENDA KWA DHATI tunakushauri ufuate nyayo za wenzio ambao wamefanya ya maana eg M. ODEMBA, NANCY, M. MAGESSE ETC
    Afu mambo ya kwenda kuparamia WAUME ZA WATU eg CK sio mazuri shosti, tafuta mtu wa maana ufanye mambo ya maana.INAONEKANA SANA BADO UNAMMPENDA DIAMOND UNATAMANI ARUDI NA JUHUDI ZOTE HIZO...MOVE ON THERE ARE SO MANY GOOD AND EDUCATED GUYS UTAMMPATA MMOJA TU!!!
    Reply
    Replies
    1. Well said anoy 4.47AM.
    2. wema kawa kurumbembe ndugu yangu...halafu hana akili...mwone Kate anavyotumia akili yake...yeye yuko kukalia kuuza nanihii yake kwa wanaume....Kafuata tabia za mamake manake alikua housegirl kwa mzee sepetu na akampindua mama mwenye house
    3. Wewe hapojuu nimekusoma unajielewa,team vigodoro Maisha watayajulia wapi kutwa kudanga nawaume za watu.Hawana chakumshauri msambinungwa mwenzao ht wanavyomponda zari ukichunguza nimanungayembe kwishakazi,wanajisumbua tu maana kinawauma nakuwasokota haswaa,wanadanganyana nakujipamoyo wa mwendawazimu kama dada yao mkomavu wa mirembe.kwikwikwii singida line according to mzaz wamtu pyeeee.dai we nimwanaume na akilizako Utizame tu naukoo unaoingia kule singida line kulikuwa sipo usirudie makosa acha wamjini waendelee kumfanya bibi.mana ule mning'inio hatawaliozaa wanaelekewa nakutizamika.nasema kweli mnafirimbwa sana nakutumikasana mpaka hamtizamiki mmezeeka kabla yamuda chamaana hamna uzuri wa mwanamke nikichwa pia Sio umgando
  68. humu ukiandika ujinga watu wanashobokea, ila ukitoa hoja ya kuelimisha unapata comment 3 au 4. wabongo bwana kwa ushabenga tu hatari.
    Reply
  69. Sintah kikongwe tulia
    Reply
  70. kuna shoga angu wa kitambo natak nimtombee bwana ake,,,ana ashuo sana fala yule kujitia anamchunga sasa ntamuonesha
    Reply
    Replies
    1. We kweli kilaza, dunia hii ya kujisifia uchafu kama huyo, ama firauna wa thamuda, una mkomoa yy au nafsi yako
  71. du team wema mnahasira.poleni ndo hivyo wema ni history now.ni mwendo Zari and Diamond.
    Reply
  72. Andunje waaambie wakutumie picha za kulisha wageni waalikwa keki basi, lazima mbilimbi zitafunwe pana chezea watu na watu waooo, watu woyoooo
    Reply
    Replies
    1. Lini hiyo na wapi tuonjeshe basi ubuyu huo wewe anoy wa 6.59AM.
  73. YANI MI NNACHOKUPENDEA WW SINTAH, HUWA UNARUSHA COMENT HATA KAMA NI ZA KUKUSHUSHUA NA KUKUPONDA WALA HUJALI HILO KILA MTU ANAJUA WAKATAE WAKUBALI !! SIYO MTU MWINGINE UKIMPONDA AU UKIMSHUSHUA ANABANA KOMENT ETI WATU WOOOOTE WANAMSIFU YEYE TU WAKATI KUNA WATU KIBAO HAWAKUKUBALI!! LOVE YOU SINTAH!
    Reply
  74. asiyejua nani kama wewe humpend wema?unamchukia dada wa watu tena pale akiwa amepata tatizo sijui ndo furaha yako kweny issue ya diomond kutopokea ela ya wema ukairaise up mbka kuhojiwa na millard ayo hya na issue ya kuachwa vilevile mi sikuelewag una maana gani we dada kabisa yan sikuelew una nini wewe
    Reply
  75. SINTAH SINTAH kwani cha ajabu hapo kipi wote wamemu wish happy b day na kila .moja kajinadi kwa nafasi yake zari wifi akiwa mchepuko kwa Domo na MADAM WEMA Mkwe kwakua anamuita mme wa Esma Totoooo Petty . Sa2 tatizi liko wapi ww chakubimbi Sintah. alafu sintah tangia leo hacha kabisa kuwa unalianzisha liugonvi na watu.
    Reply
  76. sintah upo mama! naomba profile la SINTAH. nataka kaka ngu anampenda sn na anataka arushe ndoana kwa Sintah, ila naomba msinichambe bandugu!
    Reply
  77. UPO WIFI YANGU MTARAJIWA SINTAH? !! JAMANI NAOMBA PROFILE LA SINTAH CEO NINA BRO ANGU ANANISUMBUA KILA WAKATI ANATAKA ABEBE JUMLA ATAKI AMCHEZEE ANATAKA AKAMTOLEE M THEN NDOA. ILA MSINICHAMBE KAMA UTAKI KUTOA USHIKIANO PITA KIMYA
    Reply
  78. zari anamnyonya diamond mok afirisike.
    Reply
  79. IPO POA SINTA TATIZO NINI KWANI WEMA NA ESMA NI MARAFIKI MTAJIBEBA MNAOPENDA MAUGOMVI HASA WEWE SINTAH MCHONGANISHI SANA HUMPENDI WEMA MFYUUUUUUUU ZAKO
    Reply
  80. TATIZO NI KWANI POA TU
    Reply
  81. KWEL WATU MNAUCHIZ KWENYE VICHWA VYENU HAMNA KAZI YA KUFANYA,,MNAJIAIBISHA KWA WATU WASIOCHANGIA CHOCHOTE KWENYE MAISHA YENU,,NDO WA EAST AFRICA WENZETU WANATUSHANGAA KWA UPUMBAVU WA KUTUKANANA MITANDAON HATA NYANI WANAAFAZARI KULIKO MNAYOYAFANYA HAPA,,SINTAH TAFUTA MADA ZA MAANA BASI C HUU UPUU WA WEMA NA ZARI NA DOMO,,NI KINA NANA KWANZA MPAKA MISHIPA IWASIMAME KUWADISCUSS
    Reply
  82. sintah blog nyngne uktuma comment lakn yako aisee
    Reply

0 comments:

Post a Comment