Posted by Williammalecela.com on Friday, March 20, 2015
 |
|
"TAARIFA-
Kijana mwenye picha hii ALIFARIKI ktk ajali iliyotoke MIKUMI MBUGA ZA
WANYAM tar 19-3-2015 Miliwake haujatambulia na upo HOSPITALI YA KIZITO
MIKUMI. Yeyetoe atakae mfahamu afikishe taarifa kwa ndugu na jamaa
zake.Ni taarifa ya majonzi lakini naomba yoyote atakayemtambua afanye
jitihada anazoweza.Nimetumiwa na jamaa yangu wakaribu akiniomba nami
nijaribu kutoa taaarifa itayoweza kusaidia ndugu na jamaa zake kupata
taarifa" - Facebook | | |
0 comments:
Post a Comment