Wednesday, March 4, 2015

Baraza la Maadili leo limeendelea kuhoji viongozi wa umma wanaotuhumiwa kupata mgao wa fedha kutoka katika akaunti ya Tegeta Escrow ambapo leo hii mtumishi wa Ikulu, jina limenitoka, nae amehojiwa.

CHANZO:Channel 10.

0 comments:

Post a Comment