Monday, March 2, 2015

 
 


  • Lilian Timbuka Halafu kesho atakuwa miongoni mwa wabunge waombolezaji mweeee, kwa Mungu hukooo, haya bwana kama tunakumbuka kuwa ipo siku nasi tutalala kimya! sidhani kama tunaweza kumkebehi maiti yeyote yule, Mungu tuhurumie
  • Chris Mpunga Kafa kiume na kuitetea nchi
    11 hrs · Like · 1
  • Michael Matemanga Akili kichwani kwake,aliyeambiwa hayo maneno amekaa kimya na ameenda kuhuzulia msiba,yeye anaongea utumbo,kama mwenzake ameshasamee
    10 hrs · Like · 1
  • Joseph Lugakingira Albert Thomas Kawogo Msando Alberto Iddy Harnaa Mkwama Emmanuel John NchimbiMwigulu Nchemba AMELEWA SIFA huyu Kijana , Anadha Ni hata Upuuzi Atashabikiwa mfano Hata kama ingekuwa KWELI Komba Kamtusi WARIOBA Juu YA MAUTI Je Sasa Inahalalisha Yeye Mnyik...
    4 hrs · Edited · Like · 3
  • Rashid Jumanne Kabisa kaka,huyu jamaa kaisha poteza mwelekeo
    4 hrs · Like · 1
  • Mohamed Hamza Hivi huyu alieongea haya nimbunge au nimtumia viroba
    4 hrs · Like · 1
  • WazaziMzimuni Ccm Kawe Hebu tutafakari zaidi hilo andiko ni kweli ameandika Mnyika ? Au ndio Siasa zetu.Maana inaonekana kama kuna Mtu alieandika kwenye Timeline ya Mnyika ? Au kama mtu kaandika akamtumia Mnyika
    4 hrs · Edited · Like · 1
  • Albert Thomas Kawogo Taarifa ya ukweli ni kuwa Kept Komba Marehemu;hakutamka sentensi hiyo kuwa 'Warioba kaona anataka kufa' angesema hivyo Spika angemtaka afute kauli haya maneno Mnyika kamlisha Marehemu huku akijua kuwa hawezi kuyakanusha tena shame on him Joseph Lugakingira
    2 hrs · Like · 3
  • Mwafrika Merinyo Kwanini profile pic na details za huko juu za hiyo photo yako hazionekani vizuri kaka Albert Thomas Kawogo???
    2 hrs · Edited · Like · 2
  • Albert Thomas Kawogo WazaziMzimuni Ccm Kawe ni maneno ya Mnyika kupitia ukurasa wake sahihi wa fb na mimi nimeweka post hii masaa 11 baada ya yeye ku post akiwa tayari ameshashambuliwa na wastaarab wengine wakiwemo Chadema wenzie na pia ingekuwa hivyo angekanusha maana Juliana Shonza pia kalaani tukio hili kupitia page yake bado yuko kimya.
    2 hrs · Like · 2
  • Iddy Harnaa Mkwama Huyu mwehu jimbo linamchanganya, aliahidi maji muda umekwisha hafanya kitu
    2 hrs · Like · 1
  • Iddy Harnaa Mkwama Pia kama ingekuwa sio yeye angefuta na kuomba radhi
    2 hrs · Like · 1
  • Marry Kayuya mwehu kishenzi anakashifu maiti pua yake imeangalia juu nini?
    2 hrs · Like · 1
  • Albert Thomas Kawogo Mwafrika Merinyo Mnyika ni rafiki yangu fb kwanini asijitetee mwenyewe badala yake nyie ndio mnafanya kazi hiyo tuweni waungwana tusitetee hata wenye roho za kinyama kwasababu tu za itikadi Mh Mbowe katoa salamu nzuri tu za faraja kwa familia ya Komba ..
    2 hrs · Like · 1
  • Mary Machaga Hivi upendo uko wapi yy mnyika anajua kesho yake
    2 hrs · Like · 2
  • Mwafrika Merinyo Sijamtetea Mnyika kaka Albert Thomas Kawogo, chonde tafakari! Nimeuliza swali tu. Kwa kawaida yangu sitetei mtu wala kumlaani, napenda hoja zenye ukweli kuntu . . .
    2 hrs · Like · 1
  • Maryam Kawawa Jimbo limemchanganya huyoo!
    2 hrs · Like · 1
  • Mwafrika Merinyo Kama ameandika yeye kweli, basi mhmmmm! Nashuku heshima na ustaarabu wake . . .
    2 hrs · Like · 2
  • Fredy Paschal waliolala ktk yeye wamepotea
    2 hrs · Like · 1
  • Joseph Lugakingira Albert Thomas Kawogo Shukrani kwa Ufafanuzi Mkuu
    2 hrs · Like · 1
  • Charles Misango Mdogo wangu na rafiki yangu mpendwa Albert Thomas Kawogo, najua umekereka na maneno hayo. Hata mm sijayafurahia na kama kweli kayasema Mnyika ninayemheshimu pia kama mdogo wangu na mbunge wangu pia, basi aombe radhi. Maiti kwa wenye busara haidihakiwi....
    2 hrs · Like · 3
  • Ruhazi Ruhinda Ruhazi Nimefuatilia nukuu zenu,Kawogo na Misango, Mnyika kakosea nini, yeye kanukuu maneno ya kapt Komba, wakati mh huyu yupo mjengoni lkiyazungumza hayo akiwa na akili zake timamu, leo imethibitika kuwa kufa sio lazima atangulie mkubwa kiumri, Mwenyezi Mungu...
    1 hr · Like · 2
  • Charles Misango Ruhazi Ruhinda Ruhazi ukisoma vema maelezo yako, utagundua jambo. Nimeonya juu ya kauli zetu. Mnyika ni kiongozi mkubwa sana na kwa dhamana yake alipaswa kuweka AKIBA ya maneno. Yangetamkwa na mtu wa kawaida wala nisingejali. Kurejea maneno ya Komba b...
  • Albert Thomas Kawogo Nimegundua kitu juzi jana na leo.ITIKADI ZA KISIASA NI SUMU SANA KTK MSHIKAMANO WETU zimepofusha muono wa UTU Charles Misango
  • Ruhazi Ruhinda Ruhazi ndg yangu Misango nimekuelewa sn, hoja yako ni kwamba Mnyika asingenukuu kilichosemwa na Kap Komba, hoja yangu inasimamia pale pale kwamba mtu anapotoa kauli nzito km hii aliyoitoa Komba kwa Warioba, maana ya Mnyika kwa mtazamo wangu ni kuwa ametuonya ...See More
  • Christopher Buke Joseph Lugakingira umesema maneno ya hekima sana, liliposemwa neno hilo lilikuwa gumu lakini kosa alilofanya huyu mtu hata akiwa na makosa namna gani akiisha kufa tunamsamehe hatuweki chuki badala yake tunamuombea majaliwa pili sio busara kutumia kifo
    1 hr · Like · 1
  • James Isdore Kabla ya kuuliza uhakika wa umiliki wa akaunti ya facebook yenye jina la JOHN MYIKA,Ninajiuliza maswali mengi likiwemo ni kwanini kifo ya Mwakilishi wa Zanzibar aliyefariki ghafla hakikuwa na maneno sampuli hii?Bila shaka hapa kunatatizo ambalo bila un...
    1 hr · Like · 2
  • Ruhazi Ruhinda Ruhazi nashukuru kwa kunielewa, ninarudi kwenye hoja ya ndg yangu Misango, sina shaka kwamba sote tunafahamu na kukubaliana kuwa kumsema mtu kwa ubaya baada ya kifo ni jambo baya, halipendezi afapo mmoja wetu lililo jema ni kumkumbuka kwa yale mema na baada ya hapo kubaki tukimuombea kwa Mwenyezi Mungu kwani sisi binadamu hatujakamilika na daima tu wakosaji. nawasilisha
    1 hr · Like · 1
  • Frank Lema iwe funzo kwa watu kutoa maneno kama wao ndio wenye haki miliki ya nchi, je ilikua busara kwa komba kumtukana mtu mzima kama warioba? narudia kusema mabaya tunayoyatenda hukumu yake ni hapa hapa duniani. alijuaje kama warioba kakaribia kufa yeye komba alikua Mungu? Hatumchukii ila tujifunze na tujihoji ninapotamka haya si mkwazi mtu?
    1 hr · Like · 1
  • Charles Misango Ndio maana Ruhazi Ruhinda Ruhazi nimesema hata kama ni kweli Komba alisema vike, si vema kwa mtu wa heshima kubwa kama Mnyika kusema hayo, na niungane na wengi kutilia shaka kama ni yake. Pilk nimasema ni vema kiongozi yeyote wa ngazi yoyote ktk jamii kuwa makini na kauli maana zitatuandama na kubaki kama vivuli duniani tukiisha kufa
  • Eva Kileo Jamani kwa kweli Marehemu Komba alikosea sana.tena dunia nzima ilisikitika.kwa kumdhihaki Baba.babu.mzee wetu.kwa maneno mabaya kama yale.nawala hakuomba msamahaa.kwahiyo jamii iloyobaki tujifunze kwahaya yaliyotokea.kuwa MUNGU NDIE MPANGAJI WA MAISHA YETU.hivyo tusitiri vinywa vyetu.
    41 mins · Edited · Like · 2
    • Francis Mwalusako Kama ulikuwa mfanya mabaya utasemwa tu! Kina IDD AMIN Wamekufa Lakini bado hadi leo wanasemwa kwa ubaya wao! Ukitaka usijesemwa uwapo mfu basi jifunze na hali hii. Punguza kufanya mabaya usijesemwa vibaya. Atasemwa tu kwasababu yeye alijifanya anajua zaidi ni jeuli zaidi Nami nasema wamseme tu! Maana tumechoka sasa! Eeh hakuna namna! Hatupendi unafiki nafiki hapa! Ndugu wanune! Marafiki wanune kama ndugu rafiki yenu alikuwa ovyo Atasemwa tu! Nami nasema mmseme tu! Maana hakuna namna! MUDA HUU NIPO SHAMBA, MVUA IMENYESHA BALAA! KARIBU SHAMBA TULIME.

    0 comments:

    Post a Comment