Monday, March 2, 2015


Ratiba ya kusafirisha mwili wa marehemu Mhe. Capt. John Komba itakuwa kama ifuatavyo:

Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea.

Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.

Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.

IMETOLEWA NA;
OFISI KATIBU WA BUNGE
1.3.2015


NA.
MUDA
TUKIO MHUSIKA

1.
12:00 - 01:00

Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani Kaimu Katibu wa Bunge
2.
01:00 - 04:00 Misa ya kuaga mwili wa Marehemu Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
3.
04:00 - 04:30 ·Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

·Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
Katibu wa Bunge
4.
04:33 Kiongozi wa Upinzani Bungeni kuwasili Kaimu Katibu wa Bunge
5.
04:36 Mhe. Naibu Spika kuwasili Kaimu Katibu wa Bunge
6.
04:39 Mhe. Spika kuwasili Mhe. Naibu Spika
7.
04:42 Mhe. Waziri Mkuu kuwasili Mhe. Spika
8.
04:50 Mhe. Makamu wa Rais kuwasili Mhe. Spika
9.
05:00 Mhe. Rais kuwasili Mhe. Spika
10.
05:00 Mwili wa Marehemu kuwasili kwa gwaride maalum la Sergeant-At-Arms Katibu wa Bunge
11.
05:00 - 05:15 Sala fupi Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
12.
05:15 - 05:20 Wasifu wa Marehemu Kaimu Katibu wa Bunge
13.
05:20 - 05:30 Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Katibu Mkuu, CCM
14.
05:30 - 05:35 Salamu na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni Kiongozi wa Upinzani Bungeni
15.
05:35 - 05:45 Salamu na Rambirambi za Serikali Waziri Mkuu
16.
05:45 - 05:55 Salamu na Rambirambi za Uongozi wa Bunge Mhe. Spika
17.
05:55 - 06:00 Neno la Shukrani toka kwa familia Mwakilishi wa Familia
18.
06:00 - 06:15 Utaratibu wa safari Kaimu Katibu wa Bunge
19.
06:15 - 07:15 Kuaga Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki MC
20.
07:15 Mwili wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege MC
21.
07:20 - 07:25 Viongozi wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki MC
22.
07:40 Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege Kaimu Katibu wa Bunge
23.
08:00 Mwili, Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea Kaimu Katibu wa Bunge
24.
10:00 Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
25.
10:00 - 10:15 Mwili wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
26.
10:15 - 11:00 Mkuu wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
27.
11:00 - 01:00 Mwili wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa ·Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

·Kaimu Katibu wa Bunge
28.
01:00 Mwili kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea MC

0 comments:

Post a Comment