Msanii
wa Rnb na Filamu Tanzania Hemedy Phd anafanya maamuzi mengine magumu
kwenye maisha yake baada ya kufunguka kuwa anampango wa kutoboa pua
upande mmoja.
“Baada
ya kumaliza project za watu nilizonazo nitatoboa pua upande wa kulia,
ni muonekano ninaotaka sasa, siwezi kufanya muda huu sababu ya kazi za
watu, Kutoboa pua sio jambo baya kama limekubalika mbele hata hapa
nyumbani litawezekana ” .
0 comments:
Post a Comment