Tuesday, May 12, 2015

hemedy 2
Msanii wa Rnb na Filamu Tanzania Hemedy Phd anafanya maamuzi mengine magumu kwenye maisha yake baada ya kufunguka kuwa anampango wa kutoboa pua upande mmoja.
Baada ya kumaliza project za watu nilizonazo nitatoboa pua upande wa kulia, ni muonekano ninaotaka sasa, siwezi kufanya muda huu sababu ya kazi za watu, Kutoboa pua sio jambo baya kama limekubalika mbele hata hapa nyumbani litawezekana ” .
chris 3   nose Tupac

christina-aguilera-recording-artists-and-groups-photo-u138
miley-cyrus-recording-artists-and-groups-photo-u218

0 comments:

Post a Comment