Mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac
Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mastaa
hao wa sinema za Kibongo, baada ya Aunt kuposti tangazo hilo akiwalaumu
watu wa mtandao wa huduma za simu
waliomtumia ndipo Wema akaona na kuja juu.
waliomtumia ndipo Wema akaona na kuja juu.
Ilielezwa kwamba baada ya Aunt kutupia picha ya tangazo hilo,
Wema alichukizwa na kitendo hicho huku akimuona Aunt kuwa amemsaliti.
0 comments:
Post a Comment