"Mhe
Stephen Wasira anatangaza nia yake ya kugombea urais Kesho kutwa jijini
Mwanza...Nasikitika sana, kama mtoto na mwanafamilia ilibidi niwe
upande wake kipindi hiki, nimuunge mkono! Lakini mimi bado kutoka
ndani ya sakafu ya moyo wangu naamini kabisa, nchi hii itapiga hatua
kubwa tena kwa muda mfupi chini ya uongozi wa Kiongozi huyu mahiri, MHE
DR WILIBROD SLAA...
Tunataka akili mpya, nguvu mpya, na mawazo mapya kny mfumo wa serikali ili mabadiliko tunayoyahubiri yaonekane kwa macho sana. Na Ukawa ndio mpango mzima!!!
Hatahivyo, Namtakia Mhe Stephen Wasira Kila la kheri!! Kny Kinyang'anyiro hicho. Watanzania wataamua wenyewe.
Peoplesssssssssss!?"
Tunataka akili mpya, nguvu mpya, na mawazo mapya kny mfumo wa serikali ili mabadiliko tunayoyahubiri yaonekane kwa macho sana. Na Ukawa ndio mpango mzima!!!
Hatahivyo, Namtakia Mhe Stephen Wasira Kila la kheri!! Kny Kinyang'anyiro hicho. Watanzania wataamua wenyewe.
Peoplesssssssssss!?"



0 comments:
Post a Comment