Posted by Williammalecela.com on Sunday, May 31, 2015
Muziki wa bongo fleva umekua waneema kwa baadhi ya wasanii kwa wengine hali ni tete.Zola D ameamua kujiajili mwalimu wa mazoezi ya mwili maeneo ya Azula beach jijini Dar es Salaam ikiwa ada ni elfu hamsini.
0 comments:
Post a Comment