Posted by Williammalecela.com on Friday, June 26, 2015
 |
"Leo
imekuwa siku ya furaha sana kwangu. Historia imeandikwa, nikiwa Mlezi
na mtetezi wa haki za Madreva Nchini Tanzania tangu niteuliwe na
Viongozi hawa.
Leo kwa furaha kubwa natangaza rasmi kuwa Madreva
wamepokea cheti cha uanachama wa Wafanyakazi. Na pia mkataba Mpya
utakao anza tarehe 1 mwezi wa Saba 2015. Jambo kubwa sana tena la
kujivunia. Haki zote mpaka Likizo ya dreva na bima ya afya imepata
nafas. SASA MKINIONA NA BANGO SIKU YA WAFANYAKAZI NIKIWA NA MADREVA
MSITUSHANGAE."
|
0 comments:
Post a Comment