Thursday, June 18, 2015


Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari
Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akawagonga.

Taarifa zisizo rasmi watatu wamefariki hapo hapo 

0 comments:

Post a Comment