Monday, June 8, 2015



Napata faraja kuona watia nia wote wa CCM... wakikiri they have failed us ! 10 % mafanikio 90% matatizo. Na bado wanataka tena..! DUH!




CCM ni kama Darasa lenye wanafunzi wajinga. Angalau wakipewa mtihani lazima wa kwanza apatikane. Hata kama amepata 2/100 bado ni wa kwanza
Ingekuwa wagombea ni Kigwangala na Membe ningemchagua Kigwangala. Uraisi sio u-class monitor kuandika wapiga kelele. We expected more!!

Kwa watia nia wote wa CCM ndugu Membe B ndio ameongea upepo wa kusi kuliko wote!! Content 10/100. Anarahisisha matatizo ya nchi sana!

very ambitious plans. Difficult doesn't mean impossible. At least you had content. I am still examining the HOW.

": Apart from content as a minister kafanya nini la kutushtua saana?". Give credit where it is due.


January Y. Makamba ndiye mgombea wa CCM aliyejieleza kwa ufasaha zaidi kuliko wote. 'content' kawazidi wenzake.



Nasubiri January Y. Makamba. CCM ina hali ngumu sana kwenye content. Ni tatizo la wanasiasa wengi wa nchi hii. Linatokana na kutokusoma

0 comments:

Post a Comment